Naitaji samsung S10 used

Naitaji samsung S10 used

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
8,245
Reaction score
8,533
Wakuu habari

Naitaji samsung S10 used ambayo sio copy

Niko Dar,

Mwenye nayo naomba anipm tujue inakuwaje

Simu iwe kwenye mazingira mazuri, haina mpasuko wala shida yoyote

Thank you
 
Ni kweli simu zipo matoleo mengi sana sema si unajua tunanunua kwa sababu nilimuona Mad max anaitumia nikavutiwa nayo..kubadilika sio leo mkuu
Pixel nawaelewa wanashuka bei sana. Sahivi Pixel 7 unaipata kwa chini ya laki 4. Wakati mwaka juzi 2024 bila laki 8-9 haupati.
Tofauti na iPhone ya 2022 (iPhone 14) inamaana ilitoka na Pixel 7 bila Laki 8 uipati.

Zinavyotoka:
Pixel 7 base model, 128GB - $600
iPhone 14 base model, $700
 
Pixel nawaelewa wanashuka bei sana. Sahivi Pixel 7 unaipata kwa chini ya laki 4. Wakati mwaka juzi 2024 bila laki 8-9 haupati.
Tofauti na iPhone ya 2022 (iPhone 14) inamaana ilitoka na Pixel 7 bila Laki 8 uipati.

Zinavyotoka:
Pixel 7 base model, 128GB - $600
iPhone 14 base model, $700
IPhone waongo tu wanaongeza makamera kwa version mpya nimewaelewa hawa Samsung S 26 Utra simu ipo pale ni simu kweli utakuja kusikia kelele zake ikijaa daslm
 
Pixel nawaelewa wanashuka bei sana. Sahivi Pixel 7 unaipata kwa chini ya laki 4. Wakati mwaka juzi 2024 bila laki 8-9 haupati.
Tofauti na iPhone ya 2022 (iPhone 14) inamaana ilitoka na Pixel 7 bila Laki 8 uipati.

Zinavyotoka:
Pixel 7 base model, 128GB - $600
iPhone 14 base model, $700
Hivi iPhone original wanauza duka gani hapo dar?
 
Back
Top Bottom