Naitaji pikipiki aina ya fekon

Hahahaha. Weeh unatafuta kumuelewa Boflo kwani umemzaa wewe. Umuwache baba wa watu marA laki 1, weeh kula bataz hadi kuku waone wivu

ahahahhahahahhahahhahahhahhaa eat za chiken until the duks go reds!
uuuwih!
nirudishepo basi kwa Boflo ,ujue mtaani nilisumbua sana enzi zake!
ehehehehhehhe kitu cha mchuma wa $95000 mchezo!
 
Last edited by a moderator:
Mie sisahau fadhila bwana, nimefundwa toka std 3! Hata ukija kunifanyia roofing kwenye hii ghorofa hapa unadhani ntasahau? Yaani hata ukiweka tiles na ac, mie aaaah!

na akikufanyie hivo ndo atakuwa boooooooooooooooooooooooonge la mwanaume!
usisahahu kumalizia hivo bana!oh!
 

yani pikipiki imetumika miezi 2 au 4 kwa laki 7 daah hauko serious. Maana mpya ni 1.7m mpaka 2m. Anyway endelea kusubiri
 
nshapata una ijipya jingine la kuongea hapa
yani pikipiki imetumika miezi 2 au 4 kwa laki 7 daah hauko serious. Maana mpya ni 1.7m mpaka 2m. Anyway endelea kusubiri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…