Ndugu zangu wana JF sijawahi kua mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu inaniambia napaswa kujiunga na CHADEMA na kinachonivutia ni namna ambavyo wanafanya maamuzi magumu bila kujali anaefayiwa maamuzi hayo ni nani na anacheogani mladitu anapaswa kuwajibishwa hii inanipa imani kua kama chama hakimuogopi mtu wakati kinatafuta namna ya kushika dola basi hakitamuogopa mtu hata baada ya kushika dola hivyo itakua ni rahisi kuwawajibisha viongozi wazembe wa serikali hali ambayo italeta maendeleo kwa taifa na wananchi kwa ujumla.
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuwasilisha.