=Si unajua tasnia ya bongo fleva/movie/habari wanaenda na trending kupata kiki? Walikuwa wana introduce kitu kipya Ea radio ,ili kupata mileage(coverage/trending) ndio wakaona wampe benz dullah.(Maigizo).
=Hahahahaa Range ipo kwenye Maji si unajua inatokea Japenga ,na meli za kutoka Japenga zinapitia vituo vingi ,itafika tu vuta subira.