Ni ushauri wa bure, kwa wale wote wenye mapenzi mema na CCM viongozi pamoja na wanachama wao kwa ujumla
Zingatieni yafuatayo badala ya kuendelea kukimbizana kujipanga kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwaka 2015,
1. Je maisha bora kwa kila mtanzania yatakuwa yamewezekana ?
2. Magamba mtakuwa mmejivua kabla ya 2015 ?
3. Ahadi zilizokuwa zimetolewa na Mgombea wa chama (CCM) katika uchaguzi wa 2015 je zitakuwa zimetekelezwa angalau kwa asilimia 70 ?
4. Je madai ya walimu pamoja na baadhi ya watumishi wanaoidai serikali yatakuwa yametekelezwa ?
5. Baada ya kuueneza propaganda chafu katika siasa za udini, ukanda, ukabila n.k sura ya chama chenu kwa Watanzania sio nzuri kabisa, je kabla ya 2015 mtakuwa mmewaomba radhi watanzania na wakawa wamewaelewa ?
6. Kuweka mazingira mazuri ya ajira kwa vijana, kumegua na ongezeko kubwa la ukosefu wa ajira kwa vijana , watu wanamaliza vyuo vikuu wanakaa mtaani hadi miaka 3 , je serikali ya ccm itakuwa imeweza kutatua hilo kabla ya 2015 ?
7. Je mtakuwa na mgombea makini wa kusimama kwa nafasi ya urais wa kuonyesha ushindani na akapita ?
Kama katika maswali hayo machache tu CCM itakuwa katika kipindi walichopewa dhamana ya kuongoza taifa hili itakuwa haijatimiza kwa kiwango cha kuridhisha na baadhi ya mambo hawajaweza kutatua ndani ya chama chao.
Ni ushauri wa bure hakuna haja ya kuingia kushiriki uchaguzi mkuu 2015, ni bora mkajitoa mtafakari kilicho wasibu mrekebishe mkajipanga kwa uchaguzi wa 2020 vinginevyo inaenda kura kwenu mapema
Zingatieni yafuatayo badala ya kuendelea kukimbizana kujipanga kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwaka 2015,
1. Je maisha bora kwa kila mtanzania yatakuwa yamewezekana ?
2. Magamba mtakuwa mmejivua kabla ya 2015 ?
3. Ahadi zilizokuwa zimetolewa na Mgombea wa chama (CCM) katika uchaguzi wa 2015 je zitakuwa zimetekelezwa angalau kwa asilimia 70 ?
4. Je madai ya walimu pamoja na baadhi ya watumishi wanaoidai serikali yatakuwa yametekelezwa ?
5. Baada ya kuueneza propaganda chafu katika siasa za udini, ukanda, ukabila n.k sura ya chama chenu kwa Watanzania sio nzuri kabisa, je kabla ya 2015 mtakuwa mmewaomba radhi watanzania na wakawa wamewaelewa ?
6. Kuweka mazingira mazuri ya ajira kwa vijana, kumegua na ongezeko kubwa la ukosefu wa ajira kwa vijana , watu wanamaliza vyuo vikuu wanakaa mtaani hadi miaka 3 , je serikali ya ccm itakuwa imeweza kutatua hilo kabla ya 2015 ?
7. Je mtakuwa na mgombea makini wa kusimama kwa nafasi ya urais wa kuonyesha ushindani na akapita ?
Kama katika maswali hayo machache tu CCM itakuwa katika kipindi walichopewa dhamana ya kuongoza taifa hili itakuwa haijatimiza kwa kiwango cha kuridhisha na baadhi ya mambo hawajaweza kutatua ndani ya chama chao.
Ni ushauri wa bure hakuna haja ya kuingia kushiriki uchaguzi mkuu 2015, ni bora mkajitoa mtafakari kilicho wasibu mrekebishe mkajipanga kwa uchaguzi wa 2020 vinginevyo inaenda kura kwenu mapema