Mvua zimenyesha, zimemaliza, zimebaki rasharasha bado tusubirie kipindupindu?Sasa cha ajabu nini ?,Kipindupindu huwa hakitokei kwetu?
Subiri mvua zianze kunyesha.Sio utamaduni wetu kufurahia matatizo ya wenzetu.
Usimtupie jirani mawe wakati nyumba yako ni ya vioo.
Taarifa za hivi punde zinaonyesha majirani zetu wamekula kinyesi, Jeshi la uhamiaji tafadhali liwe makini kwani kupata kipindu pindu ni fedheha sana. Wakazi wa mipakani pia ni vyema mkachukua tahadhari kwa kuzingatia usafi.
Source:
Chanzo cha kipindupindu ni uchafu....waafrika tumezidi mno kuukumbatia uchafu madhara yake ndio haya. Mbona nchi za wazungu, waarabu na far east hakuna!
Kipindupindu hata kwetu kinatokea, lakini kikitokea ni fedheha kubwa sana kwa taifa. Ndio maana tukajijwekea utaaratibu wa kufanya usafi kila jumamosi na usafi wa pamoja mwisho wa mwezi. Ndio maana ukipata ugonjwa huu unatengwa ukiwa unapatiwa matibabu.Sasa cha ajabu nini ?,Kipindupindu huwa hakitokei kwetu?
Subiri mvua zianze kunyesha.Sio utamaduni wetu kufurahia matatizo ya wenzetu.
Usimtupie jirani mawe wakati nyumba yako ni ya vioo.
Victor wa happy achana nae huyu, ni wale waandamanaji hewaIndia na yemen na iran wanakufa kwa kipindupindu acha kuongea usichikijua
Ila kenya wana mitaa michafu sana hasa uswahilin
India na yemen na iran wanakufa kwa kipindupindu acha kuongea usichikijua
The following countries are considered to be located in the Far East: China, Hong Kong,Macau, Japan, North Korea, South Korea,Mongolia, Siberia, Taiwan, Brunei, Cambodia,East Timor, Malaysia, Laos, Indonesia,Myanmar, Singapore, Philippines, Thailand, and Vietnam.
Ktk hizonchi ushasikia wamepata kipindu-pindu?
India ikwapi hapo? Au hujui maana ya Far east!!
Iran nao ni waarabu?
Just think be 4 u post!!
Umeshawahi kuishi nchi hizo mkuu.Chanzo cha kipindupindu ni uchafu....waafrika tumezidi mno kuukumbatia uchafu madhara yake ndio haya. Mbona nchi za wazungu, waarabu na far east hakuna!
Umeshawahi kuishi nchi hizo mkuu.