Naipongeza serikali kwa kufuta kodi ya zima moto

koryo

JF-Expert Member
Jun 21, 2010
639
276
Jana wakati Mhe.Waziri wa fedha akisoma BAJETI YA MWAKA 2016/17 alisema kuwa kuanzia Julai Mosi Serikali imefuta KODI YA ZIMA MOTO. Naipongeza Serikali kwa hatua hii ya kufuta Kodi ya Zima Moto kwa sababu zifuatazo:-
  • Hakuna faida inayotokana na kodi hii. Wafanyabiashara wamekuwa wakinyanyaswa kila kukicha.
  • Hakuna fire extinguisher unayopewa pindi unapolipa kodi,inabidi uinunue nje ya kodi uliyolipa.
  • Hakuna ushauri wanaoutoa, kipaumbele ni kodi tu.
  • Kwa hili naipongeza Serikali ya Mhe. Magufuli.
 
Back
Top Bottom