Naionea huruma sana CHADEMA

Naionea huruma sana CHADEMA

Hilo moja, pili wasisahau kuwa tunasubili Noah zetu. Maana hatuambiwi kama wanaume wameshatulipa fedha zetu au bado.

Haya majadiliano na "wanaume" yatakuwa marefu kama ule mkutano wa Berlin (1884 hadi 1885) miezi minne.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani akili ya Magu anaijua mwenyewe.

Sasa kaanza kumalizia hasira kwa kuchoma ofisi za watu maana kaambulia patupu kwa Wanaume wa Canada pia hawajaidhia hapo wakaamua kimkaba kwenye Bombardier a.k.a Pangaboi
 
Hao watu ni wabaguz sana hapa mwanza tuliwapokea vizur sana tukijua ni wenzetu kumbe ni fisi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe acha upumbavu, unaposema uliwapokea chadema Mwanza unamaanisha nini? Mwanza ni kwanani na chadema wanatoka wapi? Huu ubaguzi wa CCM hautawaacha salama. Unataka kutuambia Mwanza ni kwa ccm? Chama cha kibaguzi mnataka kuleta ukabila na ukanda halafu mnasingizia kuwa chadema ni Chaka cha kaskazini. Akili nyembamba za ficiemu. Msijaribu kushindana na chadema. Ruhusuni mikutano ya hadhara muone nguvu ya chadema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa wa mungu

Polen na majukumu ya hapa na pale

Sisi wote ni watanganyika na nchi yetu ni moja kwahiyo bas ni jukumu letu sote kuunda nchi saf yenye uchumi safi, elimu safi na siasa safi, uchumi na elimu zote kwa pamoja sasa zinaundwa vizur sana na huyu mzee wa kolomije

Lakin kwwnye siasa nawaonea huruma sana hawa mateja wa chadema waliolewa sifa zisizo na kichwa wala miguu hawana agenda zaid ya kutafuta huruma kwa wananchi, wananchi nao kwa sasa wamewachoka hawawataki tena hata huku vijiwen masela hawataki tena kuisikia chadema au kumuona kiumbe yeyeto yule anayeishabikia chadomo

Chadema ni imesha kabisa huku kitaa yaan imekufaa na imeoza

Nawaonea huruma sana 2020 mtakuja kuwambja nini wananchi kwwnye majimbo yenu hata hamuonekan wote mumehamia dar

Pole sana wenje maaana naona unahali mbaya sana kiuchumi nasikia unataka kurud ccm

Chadema nawaonea huruma sana kwa siasa mnazofanya zakurukia na kudandia matukio yasiyo wahusu

Chadomo imekufa kwaher chadomo


LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu na akili za panzi!! Cjui kaahidiwa uenezi kulee,duuu watz hata waone kwa macho hawaelewi,jamani misukuleee ni shidaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una shida ya uelewa: NARUDIA KAZI YA CHADEMA NI KUONDOA CCM NA UJINGA WAKE. km unaona mdogo ni wewe. Kma ndio unachokiri kuwa kazi ya CHADEMA imekwisha , utakuwa unakiri CCM imeshatoa ukidhani ni chadema.
Kweli mbowe kawashikia akili zenu yaan wewe rofa wa ufipan una ndoto za kuitoa ccm madarakan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni ukweli kabisa mkuu huku mtaani watu wanaona mihemuko tuu ya chadema habari kamili ni magufuli wabadirishe ajenda hasa hawa wateule

bado tuko hai tatizo ajira
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa wa mungu

Polen na majukumu ya hapa na pale

Sisi wote ni watanganyika na nchi yetu ni moja kwahiyo bas ni jukumu letu sote kuunda nchi saf yenye uchumi safi, elimu safi na siasa safi, uchumi na elimu zote kwa pamoja sasa zinaundwa vizur sana na huyu mzee wa kolomije

Lakin kwwnye siasa nawaonea huruma sana hawa mateja wa chadema waliolewa sifa zisizo na kichwa wala miguu hawana agenda zaid ya kutafuta huruma kwa wananchi, wananchi nao kwa sasa wamewachoka hawawataki tena hata huku vijiwen masela hawataki tena kuisikia chadema au kumuona kiumbe yeyeto yule anayeishabikia chadomo

Chadema ni imesha kabisa huku kitaa yaan imekufaa na imeoza

Nawaonea huruma sana 2020 mtakuja kuwambja nini wananchi kwwnye majimbo yenu hata hamuonekan wote mumehamia dar

Pole sana wenje maaana naona unahali mbaya sana kiuchumi nasikia unataka kurud ccm

Chadema nawaonea huruma sana kwa siasa mnazofanya zakurukia na kudandia matukio yasiyo wahusu

Chadomo imekufa kwaher chadomo


LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
chama siyo MTU chama ni itikadi na sera., unawezaje onea huruma itikadi au Sera za chama. hebu rudini shule mkajifunze siasa
 
lakini mlivyo wabaguzi vyeo vyote mligawana
Ni lini CHADEMA waliongoza nchi mpaka wakagawana vyeo kwa upendeleo?kama anavyofanya Magu ambaye kwenye utawala wake amejaza watu wa kanda ya ziwa na ameweka rekodi ya kujenga uwanja wa ndege kijijini kwake.
 
Mleta uzi, "napenda nikuhakikishie, maana msema kweli ni mpenzi wa Mungu", leo hii mfn. waitishe uchaguzi, Chama Cha Makinikia kifanye kampeni "mwaka mzima " then UKAWA wafanye kampeni 2 months only, huku kukiwa na tume huru ya uchaguzi, "MTALIA SANA"! Kwanza ile ukitaja CCem kijiweni, unaweza pigwa maneno makali na matukano juuuuu!!! CCem ni maiti inayopuliziwa perfume kupitia maDC na maRC ili uvundo usitoke!! TAFAKARI KWA SAUTI & MAKINI!!!!!
 
Back
Top Bottom