Naionea huruma sana CHADEMA

Naionea huruma sana CHADEMA

Wewe huna hoja zenye logic,unamuoneaje wenje huruma?Hivi hali yako ya kimaisha inafanana na Wenje?Pia kwanini uongelee mambo binafsi ya mtu? Sasa nakueleze hivi,anza sasa kuionea huruma familia yako na ukoo kwa ujumla maana elimu ni ya kukariri,uchumi pia hali ni tete.Kuhusu chadema:Kamwe mtu mwenye akili timamu hawezi ionea huruma chadema maana haitii huruma ktk mikakati yake.
 
Tatizo ni njaa na uvivu wako kufikiri.Ila TATIZO KUBWA ZAIDI NI KWAMBA CCM WANANUA UJINGA KM HUU KIRAHISI. CCM KILA KINACHOWASIFIA NA KUCHAFUA KIBOKO YAO HATA KIKIWA MAVI WANANUNUA.
Wananunuliwa au wanajitambua? Mlikuja kanda ya ziwa tukawapokea 2010 mkapata wabunge 4 mkoa wa shinyanga lakini mlivyo wabaguzi vyeo vyote mligawana mnavyojua. Safari hii hata mkoa wa Mara wameshtuka mtashangaa.Kina Heche bulaya na matiko wanajiandaa kusepa.
Kijiwe cha Lumumba ndio hawataki kuiona CHADEMA lakini wamechelewa,CHADEMA mwendo mdundo mpaka ikulu kuwatimua wavamizi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa wa mungu

Polen na majukumu ya hapa na pale

Sisi wote ni watanganyika na nchi yetu ni moja kwahiyo bas ni jukumu letu sote kuunda nchi saf yenye uchumi safi, elimu safi na siasa safi, uchumi na elimu zote kwa pamoja sasa zinaundwa vizur sana na huyu mzee wa kolomije

Lakin kwwnye siasa nawaonea huruma sana hawa mateja wa chadema waliolewa sifa zisizo na kichwa wala miguu hawana agenda zaid ya kutafuta huruma kwa wananchi, wananchi nao kwa sasa wamewachoka hawawataki tena hata huku vijiwen masela hawataki tena kuisikia chadema au kumuona kiumbe yeyeto yule anayeishabikia chadomo

Chadema ni imesha kabisa huku kitaa yaan imekufaa na imeoza

Nawaonea huruma sana 2020 mtakuja kuwambja nini wananchi kwwnye majimbo yenu hata hamuonekan wote mumehamia dar

Pole sana wenje maaana naona unahali mbaya sana kiuchumi nasikia unataka kurud ccm

Chadema nawaonea huruma sana kwa siasa mnazofanya zakurukia na kudandia matukio yasiyo wahusu

Chadomo imekufa kwaher chadomo


LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe nani anakuonea huruma kwa kuhifadhi uchafu kichwani badala ya akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe huna hoja zenye logic,unamuoneaje wenje huruma?Hivi hali yako ya kimaisha inafanana na Wenje?Pia kwanini uongelee mambo binafsi ya mtu? Sasa nakueleze hivi,anza sasa kuionea huruma familia yako na ukoo kwa ujumla maana elimu ni ya kukariri,uchumi pia hali ni tete.Kuhusu chadema:Kamwe mtu mwenye akili timamu hawezi ionea huruma chadema maana haitii huruma ktk mikakati yake.
Maisha ya wenje yanasikitisha sana sema tu hujui

Kuhusu maisha ya ukoo wangu yako poa sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wananunuliwa au wanajitambua? Mlikuja kanda ya ziwa tukawapokea 2010 mkapata wabunge 4 mkoa wa shinyanga lakini mlivyo wabaguzi vyeo vyote mligawana mnavyojua. Safari hii hata mkoa wa Mara wameshtuka mtashangaa.Kina Heche bulaya na matiko wanajiandaa kusepa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hao watu ni wabaguz sana hapa mwanza tuliwapokea vizur sana tukijua ni wenzetu kumbe ni fisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
chadema ni kweli inakufa ruhusuni mikutano ya hadhara maana ni kweli chadema hatuna hoja
ruhusuni na bunge live tuwaone wabunge makini kina msukuma wakiwatetea waganga wa kienyeji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa wa mungu

Polen na majukumu ya hapa na pale

Sisi wote ni watanganyika na nchi yetu ni moja kwahiyo bas ni jukumu letu sote kuunda nchi saf yenye uchumi safi, elimu safi na siasa safi, uchumi na elimu zote kwa pamoja sasa zinaundwa vizur sana na huyu mzee wa kolomije

Lakin kwwnye siasa nawaonea huruma sana hawa mateja wa chadema waliolewa sifa zisizo na kichwa wala miguu hawana agenda zaid ya kutafuta huruma kwa wananchi, wananchi nao kwa sasa wamewachoka hawawataki tena hata huku vijiwen masela hawataki tena kuisikia chadema au kumuona kiumbe yeyeto yule anayeishabikia chadomo

Chadema ni imesha kabisa huku kitaa yaan imekufaa na imeoza

Nawaonea huruma sana 2020 mtakuja kuwambja nini wananchi kwwnye majimbo yenu hata hamuonekan wote mumehamia dar

Pole sana wenje maaana naona unahali mbaya sana kiuchumi nasikia unataka kurud ccm

Chadema nawaonea huruma sana kwa siasa mnazofanya zakurukia na kudandia matukio yasiyo wahusu

Chadomo imekufa kwaher chadomo


LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani nataka kujua tu. Je, wewe uliyeandika huu uzi ni Mwanamke au mwanaume!? Kama wewe ni malikia wa nguvu hongera sana.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya cdm na ccm wapi kuna ujinga mwingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Una shida ya uelewa: NARUDIA KAZI YA CHADEMA NI KUONDOA CCM NA UJINGA WAKE. km unaona mdogo ni wewe. Kma ndio unachokiri kuwa kazi ya CHADEMA imekwisha , utakuwa unakiri CCM imeshatoa ukidhani ni chadema.
 
Back
Top Bottom