Naionea huruma sana CHADEMA

Naionea huruma sana CHADEMA

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
24,013
Reaction score
42,265
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa wa mungu

Polen na majukumu ya hapa na pale

Sisi wote ni watanganyika na nchi yetu ni moja kwahiyo bas ni jukumu letu sote kuunda nchi saf yenye uchumi safi, elimu safi na siasa safi, uchumi na elimu zote kwa pamoja sasa zinaundwa vizur sana na huyu mzee wa kolomije

Lakin kwwnye siasa nawaonea huruma sana hawa mateja wa chadema waliolewa sifa zisizo na kichwa wala miguu hawana agenda zaid ya kutafuta huruma kwa wananchi, wananchi nao kwa sasa wamewachoka hawawataki tena hata huku vijiwen masela hawataki tena kuisikia chadema au kumuona kiumbe yeyeto yule anayeishabikia chadomo

Chadema ni imesha kabisa huku kitaa yaan imekufaa na imeoza

Nawaonea huruma sana 2020 mtakuja kuwambja nini wananchi kwwnye majimbo yenu hata hamuonekan wote mumehamia dar

Pole sana wenje maaana naona unahali mbaya sana kiuchumi nasikia unataka kurud ccm

Chadema nawaonea huruma sana kwa siasa mnazofanya zakurukia na kudandia matukio yasiyo wahusu

Chadomo imekufa kwaher chadomo


LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa wa mungu

Polen na majukumu ya hapa na pale

Sisi wote ni watanganyika na nchi yetu ni moja kwahiyo bas ni jukumu letu sote kuunda nchi saf yenye uchumi safi, elimu safi na siasa safi, uchumi na elimu zote kwa pamoja sasa zinaundwa vizur sana na huyu mzee wa kolomije

Lakin kwwnye siasa nawaonea huruma sana hawa mateja wa chadema waliolewa sifa zisizo na kichwa wala miguu hawana agenda zaid ya kutafuta huruma kwa wananchi, wananchi nao kwa sasa wamewachoka hawawataki tena hata huku vijiwen masela hawataki tena kuisikia chadema au kumuona kiumbe yeyeto yule anayeishabikia chadomo

Chadema ni imesha kabisa huku kitaa yaan imekufaa na imeoza

Nawaonea huruma sana 2020 mtakuja kuwambja nini wananchi kwwnye majimbo yenu hata hamuonekan wote mumehamia dar

Pole sana wenje maaana naona unahali mbaya sana kiuchumi nasikia unataka kurud ccm

Chadema nawaonea huruma sana kwa siasa mnazofanya zakurukia na kudandia matukio yasiyo wahusu

Chadomo imekufa kwaher chadomo


LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikio la kufa halisikii dawa. Chadema kwisha kazi yake.
 
Hiyo ni kinyume chake. Kiki zenu chama cha makinikia na misifa ya M/k wenu imeikosti taifa. Badala yakuleta upuuzi kama huu hapa mngetafakari kwanza namna yakuwataka radhi Watanzania kwa majanga mliowasababishia kwa makusudi. Ila kwakuwa sio jadi yenu kuwa wakweli na waungwana kwa maovu mnayoyatenda sintowashangaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza baki na amani ya bwana wa miungu yako

Pili hasa nikirejea aya ya pili ya uzi wako ulikuwa umekuja vizuri lakini aya zote zilizofuata ni ya kimbeyambeya siyo ya kujenga kama ulivyosema kwenye aya pili

Tatu CHADEMA kama hamna kijiweni kwako labda kwa vile kijiweni kwako ni hapo ofisi ya lumumba

Kingine kama unataka kuona moto wa CHADEMA mwambieni kiongozi wenu mwoga aruhusu mikutano ya siasa
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa wa mungu

Polen na majukumu ya hapa na pale

Sisi wote ni watanganyika na nchi yetu ni moja kwahiyo bas ni jukumu letu sote kuunda nchi saf yenye uchumi safi, elimu safi na siasa safi, uchumi na elimu zote kwa pamoja sasa zinaundwa vizur sana na huyu mzee wa kolomije

Lakin kwwnye siasa nawaonea huruma sana hawa mateja wa chadema waliolewa sifa zisizo na kichwa wala miguu hawana agenda zaid ya kutafuta huruma kwa wananchi, wananchi nao kwa sasa wamewachoka hawawataki tena hata huku vijiwen masela hawataki tena kuisikia chadema au kumuona kiumbe yeyeto yule anayeishabikia chadomo

Chadema ni imesha kabisa huku kitaa yaan imekufaa na imeoza

Nawaonea huruma sana 2020 mtakuja kuwambja nini wananchi kwwnye majimbo yenu hata hamuonekan wote mumehamia dar

Pole sana wenje maaana naona unahali mbaya sana kiuchumi nasikia unataka kurud ccm

Chadema nawaonea huruma sana kwa siasa mnazofanya zakurukia na kudandia matukio yasiyo wahusu

Chadomo imekufa kwaher chadomo


LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
LABDA VIJIWE vya chato na lumumba...............................
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa wa mungu

Polen na majukumu ya hapa na pale

Sisi wote ni watanganyika na nchi yetu ni moja kwahiyo bas ni jukumu letu sote kuunda nchi saf yenye uchumi safi, elimu safi na siasa safi, uchumi na elimu zote kwa pamoja sasa zinaundwa vizur sana na huyu mzee wa kolomije

Lakin kwwnye siasa nawaonea huruma sana hawa mateja wa chadema waliolewa sifa zisizo na kichwa wala miguu hawana agenda zaid ya kutafuta huruma kwa wananchi, wananchi nao kwa sasa wamewachoka hawawataki tena hata huku vijiwen masela hawataki tena kuisikia chadema au kumuona kiumbe yeyeto yule anayeishabikia chadomo

Chadema ni imesha kabisa huku kitaa yaan imekufaa na imeoza

Nawaonea huruma sana 2020 mtakuja kuwambja nini wananchi kwwnye majimbo yenu hata hamuonekan wote mumehamia dar

Pole sana wenje maaana naona unahali mbaya sana kiuchumi nasikia unataka kurud ccm

Chadema nawaonea huruma sana kwa siasa mnazofanya zakurukia na kudandia matukio yasiyo wahusu

Chadomo imekufa kwaher chadomo


LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona uzi haueleweki? Unawaonea huruma kwa lipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa wa mungu

Polen na majukumu ya hapa na pale

Sisi wote ni watanganyika na nchi yetu ni moja kwahiyo bas ni jukumu letu sote kuunda nchi saf yenye uchumi safi, elimu safi na siasa safi, uchumi na elimu zote kwa pamoja sasa zinaundwa vizur sana na huyu mzee wa kolomije

Lakin kwwnye siasa nawaonea huruma sana hawa mateja wa chadema waliolewa sifa zisizo na kichwa wala miguu hawana agenda zaid ya kutafuta huruma kwa wananchi, wananchi nao kwa sasa wamewachoka hawawataki tena hata huku vijiwen masela hawataki tena kuisikia chadema au kumuona kiumbe yeyeto yule anayeishabikia chadomo

Chadema ni imesha kabisa huku kitaa yaan imekufaa na imeoza

Nawaonea huruma sana 2020 mtakuja kuwambja nini wananchi kwwnye majimbo yenu hata hamuonekan wote mumehamia dar

Pole sana wenje maaana naona unahali mbaya sana kiuchumi nasikia unataka kurud ccm

Chadema nawaonea huruma sana kwa siasa mnazofanya zakurukia na kudandia matukio yasiyo wahusu

Chadomo imekufa kwaher chadomo


LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni njaa na uvivu wako kufikiri.Ila TATIZO KUBWA ZAIDI NI KWAMBA CCM WANANUA UJINGA KM HUU KIRAHISI. CCM KILA KINACHOWASIFIA NA KUCHAFUA KIBOKO YAO HATA KIKIWA MAVI WANANUNUA.
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa wa mungu

Polen na majukumu ya hapa na pale

Sisi wote ni watanganyika na nchi yetu ni moja kwahiyo bas ni jukumu letu sote kuunda nchi saf yenye uchumi safi, elimu safi na siasa safi, uchumi na elimu zote kwa pamoja sasa zinaundwa vizur sana na huyu mzee wa kolomije

Lakin kwwnye siasa nawaonea huruma sana hawa mateja wa chadema waliolewa sifa zisizo na kichwa wala miguu hawana agenda zaid ya kutafuta huruma kwa wananchi, wananchi nao kwa sasa wamewachoka hawawataki tena hata huku vijiwen masela hawataki tena kuisikia chadema au kumuona kiumbe yeyeto yule anayeishabikia chadomo

Chadema ni imesha kabisa huku kitaa yaan imekufaa na imeoza

Nawaonea huruma sana 2020 mtakuja kuwambja nini wananchi kwwnye majimbo yenu hata hamuonekan wote mumehamia dar

Pole sana wenje maaana naona unahali mbaya sana kiuchumi nasikia unataka kurud ccm

Chadema nawaonea huruma sana kwa siasa mnazofanya zakurukia na kudandia matukio yasiyo wahusu

Chadomo imekufa kwaher chadomo


LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja yako umeijenga kwa kutumia akili ndogo sana kk, Chadema inayo mengi sana ya kuwaambia wananchi ikiwa ni pamoja na hali mbaya ya uchumi, ahadi hewa ya viwanda kila eneo alilokuwa akipita Mr sizonje wakati wa kampeni 2015 haya ni machache kati ya mengi sana, hivyo 2020 hamna jipya mtakuja kutwambia tukawaelewa
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa wa mungu

Polen na majukumu ya hapa na pale

Sisi wote ni watanganyika na nchi yetu ni moja kwahiyo bas ni jukumu letu sote kuunda nchi saf yenye uchumi safi, elimu safi na siasa safi, uchumi na elimu zote kwa pamoja sasa zinaundwa vizur sana na huyu mzee wa kolomije

Lakin kwwnye siasa nawaonea huruma sana hawa mateja wa chadema waliolewa sifa zisizo na kichwa wala miguu hawana agenda zaid ya kutafuta huruma kwa wananchi, wananchi nao kwa sasa wamewachoka hawawataki tena hata huku vijiwen masela hawataki tena kuisikia chadema au kumuona kiumbe yeyeto yule anayeishabikia chadomo

Chadema ni imesha kabisa huku kitaa yaan imekufaa na imeoza

Nawaonea huruma sana 2020 mtakuja kuwambja nini wananchi kwwnye majimbo yenu hata hamuonekan wote mumehamia dar

Pole sana wenje maaana naona unahali mbaya sana kiuchumi nasikia unataka kurud ccm

Chadema nawaonea huruma sana kwa siasa mnazofanya zakurukia na kudandia matukio yasiyo wahusu

Chadomo imekufa kwaher chadomo


LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli kabisa Chadema imekwisha ndiyo sababu Mkullu akiwasikia wabunge wake au wanachama wanakutana lazima atume polisi
 
Back
Top Bottom