Naiona Real Madrid ikibeba Uefa Champions League 2018

Kua nyepesi eeeh,Liverpool ndie anachukua hili kombe hakuna cha madrid wala nini.
Madrid wanaujuz ni balaa,afu zidane anajua namna ya kuzkamata timu,waache kabsa Madrid mbele ya kombe hawanaga mzaa,sasa Liverpool anafungwa na man u kwa Madrid atapgwa kama mbwa
 
Tambueni hamna aliyeingia kwa kubahatisha hapo. Hadi mda huu waliofudhu ni Liver na Roma tu. Hao wengine tusubiri usiku ndio tutajua. Madrid wepesi sana, wanatembelea nyota ya CR7, tena Uongozi wa Madrid wajitahidi sana kutafuta mrithi wa CR7 jamaa yule akishikwa au akiumwa basi timu yote inapotea. Wenzetu sio kama Simba na Yanga, mtashangaa leo Juve wanacheza mpira tofauti na mechi ya kwanza. Leo juve wanahidi wawape sana presha madrid sababu mabeki wa kati wa madrid leo naona kama Chujio vile.
 
Wapiga ramli chonganishi naona wengi wamehamia Liverpool ss, hasa hawa ma barca ma barca, OK haina mbaya maana lazima muwe na timu ya kuipigia upatu, ila hakika nawaambieni, Madrid anaweka historia nyingine UEFA
 
Tambueni hamna aliyeingia kwa kubahatisha hapo. Hadi mda huu waliofudhu ni Liver na Roma tu. Hao wengine tusubiri usiku ndio tutajua. Madrid wepesi sana, wanatembelea nyota ya CR7, tena Uongozi wa Madrid wajitahidi sana kutafuta mrithi wa CR7 jamaa yule akishikwa au akiumwa basi timu yote inapotea. Wenzetu sio kama Simba na Yanga, mtashangaa leo Juve wanacheza mpira tofauti na mechi ya kwanza. Leo juve wanahidi wawape sana presha madrid sababu mabeki wa kati wa madrid leo naona kama Chujio vile.
Mpaka unanipa mzuka Wa kwenda kuitazama,ila mi naamin Madrid alshamalza kaz sku nying
 
Wenyewe walienda kucheza na mesi ila Roma walienda kucheza na Kristo Yesu
 
Tambueni hamna aliyeingia kwa kubahatisha hapo. Hadi mda huu waliofudhu ni Liver na Roma tu. Hao wengine tusubiri usiku ndio tutajua. Madrid wepesi sana, wanatembelea nyota ya CR7, tena Uongozi wa Madrid wajitahidi sana kutafuta mrithi wa CR7 jamaa yule akishikwa au akiumwa basi timu yote inapotea. Wenzetu sio kama Simba na Yanga, mtashangaa leo Juve wanacheza mpira tofauti na mechi ya kwanza. Leo juve wanahidi wawape sana presha madrid sababu mabeki wa kati wa madrid leo naona kama Chujio vile.
Maisha yote sahau kuhusu hili jambo.
 
Madrid wanaujuz ni balaa,afu zidane anajua namna ya kuzkamata timu,waache kabsa Madrid mbele ya kombe hawanaga mzaa,sasa Liverpool anafungwa na man u kwa Madrid atapgwa kama mbwa
Nafikiri mngeshinda mechi na juve ya Leo.ndo mngeanza hayo maneno yenu.
Nani alijua barca atakula 3-0?
Moira hauna mwenyewe sheikh.
 
...labda majeruhi tu ndiyo yawazuie lakini usisahau pia Mkuu mpira hudunda. Hakuna aliyetegemea BARCA na MANC waiage UEFA jana.

Baada ya Barca kupewa kipigo heavy cha 3-0 sasa anondoka rasmi mashindanoni kwa Roma kuwa na faida ya goli 1 walilopata mechi ya kwanza.

Barcelona ni team hatari sana kwa Magiant wenzao wa Spain Real madrid na nina uhakika jiji la madrid kwa sasa ni furaha mno na hii itwapa morale Real madrid kufukuzia Zaidi huu ubingwa.

Kwa team zilizobaki mashindanoni Liverpool, Roma na uwezekano wa Bayern na kwa aina ya mpira wa Real madrid nathubutu kusema hawa jamaa nawaona wakibeba ubingwa tena.
 
Baada ya Barca kupewa kipigo heavy cha 3-0 sasa anondoka rasmi mashindanoni kwa Roma kuwa na faida ya goli 1 walilopata mechi ya kwanza.

Barcelona ni team hatari sana kwa Magiant wenzao wa Spain Real madrid na nina uhakika jiji la madrid kwa sasa ni furaha mno na hii itwapa morale Real madrid kufukuzia Zaidi huu ubingwa.

Kwa team zilizobaki mashindanoni Liverpool, Roma na uwezekano wa Bayern na kwa aina ya mpira wa Real madrid nathubutu kusema hawa jamaa nawaona wakibeba ubingwa tena.
wenzio wanasali kwa miungu yao usiku na mchana wasikutane na "juggernaut" Liverpool.
 
Mpaka unanipa mzuka Wa kwenda kuitazama,ila mi naamin Madrid alshamalza kaz sku nying
Katazame mechi mkuu ujionee upako wa Pjanic dimbani leo. Madrid ukimtoa CR7 wakawaida sana. Ww tazama mechi zao CR7 asipocheza lazma magoli yapatikane kwa tochi. Kiufupi hadi mda huu madrid wamedata sababu beki zao za kati hazieleweki. Ramos hayupo, Nacho majeruhi, Vallejo hana uzoefu, mda huu zidane anapiga ramli amuanzishe Casemiro beki wa kati acheze na Varanne. put odds on Juventus today, Alegri inabidi awe mjanja tu. 4-3-3 itamfaa ila winga moja ampe Cuadrado nyingine ampe Douglas Costa alafu pipita acheze juu. Mabeki ilibidi apange Chielini, Rugani,Benatia, Sandro yule dogo de sciglio asianze leo.
 
Tambueni hamna aliyeingia kwa kubahatisha hapo. Hadi mda huu waliofudhu ni Liver na Roma tu. Hao wengine tusubiri usiku ndio tutajua. Madrid wepesi sana, wanatembelea nyota ya CR7, tena Uongozi wa Madrid wajitahidi sana kutafuta mrithi wa CR7 jamaa yule akishikwa au akiumwa basi timu yote inapotea. Wenzetu sio kama Simba na Yanga, mtashangaa leo Juve wanacheza mpira tofauti na mechi ya kwanza. Leo juve wanahidi wawape sana presha madrid sababu mabeki wa kati wa madrid leo naona kama Chujio vile.
Unaubeza ukuta wa real kweli... hao jamaa wametoka kwa PSG ya Neyma+DI MARIA+CAVANI+MBAPE.. had leo wapo na ndio wanaofanya miujiza toka mwaka juzi ww unawachukulia poa hv
 
Unaubeza ukuta wa real kweli... hao jamaa wametoka kwa PSG ya Neyma+DI MARIA+CAVANI+MBAPE.. had leo wapo na ndio wanaofanya miujiza toka mwaka juzi ww unawachukulia poa hv
Mbape anayemshangaa CR7 kama vile Mtanzania kamuona Superstar for the first time. Neymar anayeleta utoto kama mwenzie dyabala wakati mechi ipo serious. Pengo la Sergio Ramos leo ni kubwa sana. Mbaya zaidi Nacho nae Mgonjwa. Madrid beki zao za pembeni zipo poa kabisa. Sina shida na Marcelo wala Carvajal, shida ipo 4 na 5 leo. Lazma watoe boko au Penalty Kama presure itakua kubwa. Hadi Mzee baba Zidane anawaza ampange Casemiro si mchezo.
 
, niliona mwanzoni kabla mechi haijaanza, Roma walijiamini sana wakawapangia Barca formation moja ya kinyama sana yani, nyuma pipo 3 ila kuanzia mido adi mbele mi sikuielewa ile ni formation ya a in a gani kudadadeki, 3-4-3 sio 3-4-3 yani ile formation ya ajabu kichiz yani, akuna kitu kizuri kama kujiamini, na mechi ya kwanza Roma walijifunga 2 goals, this is soccer, [HASHTAG]#FootballForLife[/HASHTAG],
Wamebahatisha tu mzee
 
Mbape anayemshangaa CR7 kama vile Mtanzania kamuona Superstar for the first time. Neymar anayeleta utoto kama mwenzie dyabala wakati mechi ipo serious. Pengo la Sergio Ramos leo ni kubwa sana. Mbaya zaidi Nacho nae Mgonjwa. Madrid beki zao za pembeni zipo poa kabisa. Sina shida na Marcelo wala Carvajal, shida ipo 4 na 5 leo. Lazma watoe boko au Penalty Kama presure itakua kubwa. Hadi Mzee baba Zidane anawaza ampange Casemiro si mchezo.
Casemiro huyo jamaa ni mchezaji wa sayari nyingine aise
 
Wamebahatisha tu mzee
Toa credit timu ikicheza mpira. Ronaldo kafunga goli zuri wiki iliyopita hadi mashabiki wa juve wamempigia makofi. Roma kaonesha kiwango kikubwa na kizuri mechi zote mbili alipocheza na Barcelona. Ukisema kabahatisha unakosea. Au umemka tu asubuhi umekuta matokeo Livescore badala ya kuangalia mechi live.
 
Ukimtoa Barcelona kwenye UEFA ukashindwa kuchukua kombe ni Uzembe.

Sijui kwanini Liverpool mara nyingi wanaishia nusu fainali!

Mwaka huu wanaweza kuinua mashabiki wa Uingereza.

Ngoja tusubirie mechi za leo.
 
Ukimtoa Barcelona kwenye UEFA ukashindwa kuchukua kombe ni Uzembe.

Sijui kwanini Liverpool mara nyingi wanaishia nusu fainali!

Mwaka huu wanaweza kuinua mashabiki wa Uingereza.

Ngoja tusubirie mechi za leo.
Liverpool wako vizuri na wako determined sana na UCL shida kubwa kwao itakuwa ni kumzuia either Bayern ama hata Madrid..

Ukiangalia vyema Man city waliingia na pressure kubwa sana na matumain yalikuwa juu mno ya angalau kufika nusu. Mpaka pale Liverpool walikuwa wametulia. Madrid & Bayern wakongwe wa mbinu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom