Naililia CHADEMA yangu

Naililia CHADEMA yangu

john mhagama

Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
9
Reaction score
8
Migogoro migogoro migogoro,kuchafuana kuchafuana kuchafuana,siku za mwanzo nilipokuwa nasikia habari hizi kuwa Chadema yangu kuna migogoro na mitifuano ya ndani kwa ndani sikutaka kuruhusu moyo wangu kuyaamini haya nilijua ni maneno tu ya maadui wetu kisiasa,nikili wazi kuwa nilikuwa najidanganya sana na sasa nailaumu sana nafsi yangu kwa kutotaka kuyaamini yale,pengine ningeamini ningeweza kutoa mchango wangu wa mawazo kunusulu migogoro hii isiyo na maana yyt.

Siamini kama akili zetu leo zimeacha kutafuta wanachama wapya badala yake tunanyukana wenyewe,nafsi yangu inalia kwa uchungu kwa kuwa naona tunakokwenda ni kugumu zaidi ya tulipotoka,tulikaaa pamoja tukapanga,tukaonyana kwa hekima,tukaelekezana kwa busara,kwa umoja na mshikamano wa hali ya juu tukapiga hatua kubwa,ccm walituogopa kwa hoja nzito,tukazoa wanachama wengi waliondani na nje ya ccm,tukawafanya wasiopenda saisa wakatuunga mkono,na wengine wakamwaga damu zao kwa ajili ya hiki chama,kuna yatima kadhaa ambao baba zao wamefia chama,wapo wajane pia ambao waume zao wamefia chama,jamani naomba tujiulize kwa pamoja viongozi wetu wanawafikilia hawa kwa haya yanayoendelea?

Nimekuwa nikifuatilia kwa siku kadhaa zilizopita juu ya mgogoro wa kipuuzi kabisa aliouanzisha Mh Lema dhidi ya kiongozi wake Mh Zitto,jamani pamoja na yote yanayoendelea dhidi ya Mh Zitto ieleweke kwamba uchaguzi ndani ya chama bado hivyo Mh Zitto bado ni kiongozi wetu halali,huyu ni naibu katibu mkuu wa chama chetu,ana heshia zake na hadhi yake,hivyo siungi mkono aina yoyote ya udhalilishaji unaofanywa dhidi yake nje ya utaratibu wa kichama.

Mh Lema kwa nini kila siku ni wewe tu?hebu tuambie sasa kwa malumbano yale tumeongeza wanachama wangapi?malumbano yale yalikuwa na faida toyote kwa chama?Lema hivi ninyi nyote si mawazili vivuli ndani ya Bunge?mnaweza kweli kukaa pomoja kupanga hili na lile kwa manufaa ya taifa letu kama mawazili kivuli?Hivi leo Mh Lema unaweza kupokae maagizo yoyote ya kichama kutoka kwa naibu katibu mkuu wa chama kwa manufaa ya chama?

Ki ukweli sisi wanachama wenu tumekwazika sana na upuuzi uliouanzisha ambao hauna tija,nawasihi sana wanachama wenzangu tafakarini jambo hili kwa moyo mkuu mwone chama kinapoelekea.

Lema ulipaswa kufuata njia za kistaarabu na za kiuongozi za kurekebishana,tuna washauri wengi sana tena wenye hekima ya hali ya juu sana,Prof Baregu,Prof Safari,Dr Mkumbo mko wapi chama kinakufa hiki kutokana na vingozi wa aina ya kina Lema.


Slaa mlitumia nguvu kubwa sana kukijenga chama na naibu wako mlipokuwa pamoja bungeni inakuwaje leo husemi chochote mwenzio tena msaidizi wako anapodhalilishwa na mtu mnayemwongoza?

Mwisho naonamba nikutie moyo mkuu Mh Zitto kuwa sisi wanachama tunatambua wewe ni kiongozi wetu.


PEOPLES POWER.
 
Hakuna mgogoro CDM, huu ni wakati wa kukemea mapepo wachafu wanaodhani wanaweza kuzishinda nguvu za Mungu.
 
Wewe pia kilio chako kinaendeleza mgogoro, ni wanachama dhaifu wanaoamini CHADEMA kitakuwa chama cha malaika wasiokwaruzana wala kupishana mawazo daima. Kila mwanachama mwema hatakiwi kulia bali kusimamia misingi ya utu na demokrasia ndani na nje ya chama.Ieleweka kwamba nje ya umoja na mshikamano katika chama, kila mwanachama/kiongozi anayo malengo ya kisiasa anayotaraji kuyafikia kwa njia tofauti hivyo kila mwanachama ni jukumu lake kuchambua pumba na mchele kwa kila maneno au propaganda za viongozi.Kamwe msifuate misimamo yao bali tafitini zaidi na mjiridhishe uhalisia wake kwa kuangalia matumaini ya raia,katiba na kanuni za chama.
 
Aliyeanza mgogoro kwenye media ni zito wala sio lema usiwe bias, wote wamekosea
 
Hakuna mgogoro CHADEMA.....Ni siasa za kinafki za kutokuambiana ukweli watanzania tulizoea...sasa tumepata watu ambao hawawezi kuficha mambo wanauongea ukweli jinsi ulivyo kama kina Lema tunaona shida sana....CDM has to show adifference....Ukiwa hovyo unapewa za uso wazi wazi....this is very healthy...CHAMA hakiwezi kufa ng'ooooooo
 
though wakati mwingine migogoro ina faida zake, sidhani kama kwa sasa ni wakati wake.
 
unapomsema lema na kumuacha zitto bila kumuambia ukweli wake jinsi alivyotoka nje ya mstari wa kiungozi unakuwa unaendeleza mgogoro badala ya kuutatua .hawa wote wawili wametukosea wanachadema kwa ujumla
 
Migogoro migogoro migogoro,kuchafuana kuchafuana kuchafuana,siku za mwanzo nilipokuwa nasikia habari hizi kuwa Chadema yangu kuna migogoro na mitifuano ya ndani kwa ndani sikutaka kuruhusu moyo wangu kuyaamini haya nilijua ni maneno tu ya maadui wetu kisiasa,nikili wazi kuwa nilikuwa najidanganya sana na sasa nailaumu sana nafsi yangu kwa kutotaka kuyaamini yale,pengine ningeamini ningeweza kutoa mchango wangu wa mawazo kunusulu migogoro hii isiyo na maana yyt.

Siamini kama akili zetu leo zimeacha kutafuta wanachama wapya badala yake tunanyukana wenyewe,nafsi yangu inalia kwa uchungu kwa kuwa naona tunakokwenda ni kugumu zaidi ya tulipotoka,tulikaaa pamoja tukapanga,tukaonyana kwa hekima,tukaelekezana kwa busara,kwa umoja na mshikamano wa hali ya juu tukapiga hatua kubwa,ccm walituogopa kwa hoja nzito,tukazoa wanachama wengi waliondani na nje ya ccm,tukawafanya wasiopenda saisa wakatuunga mkono,na wengine wakamwaga damu zao kwa ajili ya hiki chama,kuna yatima kadhaa ambao baba zao wamefia chama,wapo wajane pia ambao waume zao wamefia chama,jamani naomba tujiulize kwa pamoja viongozi wetu wanawafikilia hawa kwa haya yanayoendelea?

Nimekuwa nikifuatilia kwa siku kadhaa zilizopita juu ya mgogoro wa kipuuzi kabisa aliouanzisha Mh Lema dhidi ya kiongozi wake Mh Zitto,jamani pamoja na yote yanayoendelea dhidi ya Mh Zitto ieleweke kwamba uchaguzi ndani ya chama bado hivyo Mh Zitto bado ni kiongozi wetu halali,huyu ni naibu katibu mkuu wa chama chetu,ana heshia zake na hadhi yake,hivyo siungi mkono aina yoyote ya udhalilishaji unaofanywa dhidi yake nje ya utaratibu wa kichama.

Mh Lema kwa nini kila siku ni wewe tu?hebu tuambie sasa kwa malumbano yale tumeongeza wanachama wangapi?malumbano yale yalikuwa na faida toyote kwa chama?Lema hivi ninyi nyote si mawazili vivuli ndani ya Bunge?mnaweza kweli kukaa pomoja kupanga hili na lile kwa manufaa ya taifa letu kama mawazili kivuli?Hivi leo Mh Lema unaweza kupokae maagizo yoyote ya kichama kutoka kwa naibu katibu mkuu wa chama kwa manufaa ya chama?

Ki ukweli sisi wanachama wenu tumekwazika sana na upuuzi uliouanzisha ambao hauna tija,nawasihi sana wanachama wenzangu tafakarini jambo hili kwa moyo mkuu mwone chama kinapoelekea.

Lema ulipaswa kufuata njia za kistaarabu na za kiuongozi za kurekebishana,tuna washauri wengi sana tena wenye hekima ya hali ya juu sana,Prof Baregu,Prof Safari,Dr Mkumbo mko wapi chama kinakufa hiki kutokana na vingozi wa aina ya kina Lema.


Slaa mlitumia nguvu kubwa sana kukijenga chama na naibu wako mlipokuwa pamoja bungeni inakuwaje leo husemi chochote mwenzio tena msaidizi wako anapodhalilishwa na mtu mnayemwongoza?

Mwisho naonamba nikutie moyo mkuu Mh Zitto kuwa sisi wanachama tunatambua wewe ni kiongozi wetu.


PEOPLES POWER.

Hapa unaendekeza mgogoro.Na pia kama huna taarifa za kutosha usiwe mwepesi wa kurusha lawama

Lema alianzishaje migogoro ? Na katika thread hii utaungwa mkono na vijana wa CCM.
 
Walichofanya mrema na marando kwa upinzani miaka ya 1996-1998 ndiyo wanachotaka kukifanya sasa zito na lema, siku ya mwisho wamagamba ndo wanaofaidika...
 
Hapa unaendekeza mgogoro.Na pia kama huna taarifa za kutosha usiwe mwepesi wa kurusha lawama

Lema alianzishaje migogoro ? Na katika thread hii utaungwa mkono na vijana wa CCM.

kama nimeeleweka vema sikumkataza lema kumkosoa zitto,akiweza hata kumpinga ila afuate taratibu za kukosoana pia ni vema afahamu kuwa zitto ni kiongozi wake ndani ya chama,pia kwa wale wanaoona usahihi wa aina hii ya malumbano niliwauliza swali kuwa kwa mgogoro huu tumepata wanachama wangapi?
 
Wewe pia kilio chako kinaendeleza mgogoro, ni wanachama dhaifu wanaoamini CHADEMA kitakuwa chama cha malaika wasiokwaruzana wala kupishana mawazo daima. Kila mwanachama mwema hatakiwi kulia bali kusimamia misingi ya utu na demokrasia ndani na nje ya chama.Ieleweka kwamba nje ya umoja na mshikamano katika chama, kila mwanachama/kiongozi anayo malengo ya kisiasa anayotaraji kuyafikia kwa njia tofauti hivyo kila mwanachama ni jukumu lake kuchambua pumba na mchele kwa kila maneno au propaganda za viongozi.Kamwe msifuate misimamo yao bali tafitini zaidi na mjiridhishe uhalisia wake kwa kuangalia matumaini ya raia,katiba na kanuni za chama.



Hilo ndio jibu kamanda.
Watu wanadhani huko cdm ni malaika wako kwa hio hawakosei.
 
mimi nasubiri siku ya mazishi ya chadema, ila najua kimesha kufa.
 
Hapa unaendekeza mgogoro.Na pia kama huna taarifa za kutosha usiwe mwepesi wa kurusha lawama

Lema alianzishaje migogoro ? Na katika thread hii utaungwa mkono na vijana wa CCM.
John Mhagama ni magamba
 
huyu saa8 siku nikikutana naye lazima nimuue kwa mkono wangu chizi mkubwa weeee ,we ndo kirusi kwenye chama chetu kenge weee ..............zako hizo .....ma weeeee
 
Back
Top Bottom