Naililia CHADEMA yangu

Naililia CHADEMA yangu

Chadema ndiyo basi tena angalia huu ushahidi Lema alikuwa anampa Yericko.

bmp.gif
Lema.bmp (1.11 MB, 0 views)

Teh teh teh
 
Hapa unaendekeza mgogoro.Na pia kama huna taarifa za kutosha usiwe mwepesi wa kurusha lawama

Lema alianzishaje migogoro ? Na katika thread hii utaungwa mkono na vijana wa CCM.

Kama kuna mahali umehisi/ona mtu hajaelewa wewe ungepaswa kumwelewesha ili asitumbukie kwenye hiyo mikono ya vijana wa ccm!!otherwise ni kama vile unamwongoza njia ya kuelekea huko usikotaka aelekee,majibu ya namna hii ni mgogoro mwingine.
 
Chadema ndiyo basi tena angalia huu ushahidi Lema alikuwa anampa Yericko.

bmp.gif
Lema.bmp (1.11 MB, 0 views)

Teh teh teh

Yericko is a mental case. Ukichanganya na bangi za Lema mwisho wake ndio huu.

Nimeshangaa kuona ujasiri wa Lema wa kuongea pumba hadharani umepotea ghafla baada ya kuombwa ushahidi!!!
 
Slaa mlitumia nguvu kubwa sana kukijenga chama na naibu wako mlipokuwa pamoja bungeni inakuwaje leo husemi chochote mwenzio tena msaidizi wako anapodhalilishwa na mtu mnayemwongoza?

Slaa alikuwa anagonga likes kwenye posts mbalimbali zinazompiga vijembe Zitto.

Hapo nadhani msimamo wake kashauweka bayana. Sio lazima atamke kwa kinywa, vitendo vyake vimetosha kufikisha ujumbe.
 
Kuna vijana wawili hapa nao naona wamegive-up.
Chadema kuwapoteza hawa vijana ni pigo kubwa kwani wamewezakuteka mtaa mzima na sasa wamejiondoa.
 
Hata HITLER alichaguliwa kwa kura,A town wamemchoka.Mji una Heshma na hadhi yake wanampa BOX!!!. wanajuta kukurupuka .
 
Saanane Hivi unalipwa bei gani kwa siku mkuu
 
Migogoro migogoro migogoro,kuchafuana kuchafuana kuchafuana,siku za mwanzo nilipokuwa nasikia habari hizi kuwa Chadema yangu kuna migogoro na mitifuano ya ndani kwa ndani sikutaka kuruhusu moyo wangu kuyaamini haya nilijua ni maneno tu ya maadui wetu kisiasa,nikili wazi kuwa nilikuwa najidanganya sana na sasa nailaumu sana nafsi yangu kwa kutotaka kuyaamini yale,pengine ningeamini ningeweza kutoa mchango wangu wa mawazo kunusulu migogoro hii isiyo na maana yyt.

Siamini kama akili zetu leo zimeacha kutafuta wanachama wapya badala yake tunanyukana wenyewe,nafsi yangu inalia kwa uchungu kwa kuwa naona tunakokwenda ni kugumu zaidi ya tulipotoka,tulikaaa pamoja tukapanga,tukaonyana kwa hekima,tukaelekezana kwa busara,kwa umoja na mshikamano wa hali ya juu tukapiga hatua kubwa,ccm walituogopa kwa hoja nzito,tukazoa wanachama wengi waliondani na nje ya ccm,tukawafanya wasiopenda saisa wakatuunga mkono,na wengine wakamwaga damu zao kwa ajili ya hiki chama,kuna yatima kadhaa ambao baba zao wamefia chama,wapo wajane pia ambao waume zao wamefia chama,jamani naomba tujiulize kwa pamoja viongozi wetu wanawafikilia hawa kwa haya yanayoendelea?

Nimekuwa nikifuatilia kwa siku kadhaa zilizopita juu ya mgogoro wa kipuuzi kabisa aliouanzisha Mh Lema dhidi ya kiongozi wake Mh Zitto,jamani pamoja na yote yanayoendelea dhidi ya Mh Zitto ieleweke kwamba uchaguzi ndani ya chama bado hivyo Mh Zitto bado ni kiongozi wetu halali,huyu ni naibu katibu mkuu wa chama chetu,ana heshia zake na hadhi yake,hivyo siungi mkono aina yoyote ya udhalilishaji unaofanywa dhidi yake nje ya utaratibu wa kichama.

Mh Lema kwa nini kila siku ni wewe tu?hebu tuambie sasa kwa malumbano yale tumeongeza wanachama wangapi?malumbano yale yalikuwa na faida toyote kwa chama?Lema hivi ninyi nyote si mawazili vivuli ndani ya Bunge?mnaweza kweli kukaa pomoja kupanga hili na lile kwa manufaa ya taifa letu kama mawazili kivuli?Hivi leo Mh Lema unaweza kupokae maagizo yoyote ya kichama kutoka kwa naibu katibu mkuu wa chama kwa manufaa ya chama?

Ki ukweli sisi wanachama wenu tumekwazika sana na upuuzi uliouanzisha ambao hauna tija,nawasihi sana wanachama wenzangu tafakarini jambo hili kwa moyo mkuu mwone chama kinapoelekea.

Lema ulipaswa kufuata njia za kistaarabu na za kiuongozi za kurekebishana,tuna washauri wengi sana tena wenye hekima ya hali ya juu sana,Prof Baregu,Prof Safari,Dr Mkumbo mko wapi chama kinakufa hiki kutokana na vingozi wa aina ya kina Lema.


Slaa mlitumia nguvu kubwa sana kukijenga chama na naibu wako mlipokuwa pamoja bungeni inakuwaje leo husemi chochote mwenzio tena msaidizi wako anapodhalilishwa na mtu mnayemwongoza?

Mwisho naonamba nikutie moyo mkuu Mh Zitto kuwa sisi wanachama tunatambua wewe ni kiongozi wetu.


PEOPLES POWER.

Mwimbo ni ule ule umejitahidi kubadilisha BEAT tu na wachezaji wenzako ni wale wale akina Ritz, zeMarcopolo, MSALANI na Maskini mkulima.
 
Kuna vijana wawili hapa nao naona wamegive-up.
Chadema kuwapoteza hawa vijana ni pigo kubwa kwani wamewezakuteka mtaa mzima na sasa wamejiondoa.

Unakabiliwa na Mental Hallucination
 
kama nimeeleweka vema sikumkataza lema kumkosoa zitto,akiweza hata kumpinga ila afuate taratibu za kukosoana pia ni vema afahamu kuwa zitto ni kiongozi wake ndani ya chama,pia kwa wale wanaoona usahihi wa aina hii ya malumbano niliwauliza swali kuwa kwa mgogoro huu tumepata wanachama wangapi?

Hivi ulifikiri Ben atasema nini??? hapo ungekuwa umemshutumu zitto na kumwita mlarushwa ange like na kukusapoti,,,ila kwakuwa umemkosoa lema ndio maana anasema hivyo,,,kama yeye yuko bila kuegemea upande kwanini asiwashauri vijana wengine waache kumchafua zitto????
 
Back
Top Bottom