Labda clip ya ambaerWaoneshe nini?
Porno au??
Tatizo la uongozi wetu ni kuwa viongozi wanajigeuza kuwa ndiyo sheria. Vitu kama hivi vinatakiwa kufanyiwa utafiti. Hivi hajui kuwa katika watu wanaohitaji kuliwazwa ni wagonjwa? Hospital zinatakiwa kuwa sehemu ambazo watu wakienda hawatakuwa na panic au mawazo. Mradi sautu iwe chini na siyo inayokera wagonjwa. Kwa wale waliowahi kutibiwa hospital za nchi zilizoendelea nadhani wanaelewa.Ametoa mwuongozo wa vitu gani vionyeshwe? Au wang'oe kabisa hizo TV?
Na hilo agizo linahusu zahanati/hospital za umma tu au na za binafsi?
Watoe tu agizo zote ziwe zinaonyesha matangazo ya vipindi vya TBC.
Labda clip ya ambaer
Tatizo la uongozi wetu ni kuwa viongozi wanajigeuza kuwa ndiyo sheria. Vitu kama hivi vinatakiwa kufanyiwa utafiti. Hivi hajui kuwa katika watu wanaohitaji kuliwazwa ni wagonjwa? Hospital zinatakiwa kuwa sehemu ambazo watu wakienda hawatakuwa na panic au mawazo. Mradi sautu iwe chini na siyo inayokera wagonjwa. Kwa wale waliowahi kutibiwa hospital za nchi zilizoendelea nadhani wanaelewa.
Muziki aweza sikiliza kwenye simu Na Head phone. wagonjwa wengi hawapendi mikelele ya muziki.Anayetaka awashe Simu yake aweke headphone aangalie tamthilia Na kusikiliza muziki nkHuyu waziri ni daktari kwa profession???
Anajua positive impact ya muziki kwa wagonjwa???
Vipindi vinavyoonyesha utekelezaji wa ilani ya CCM na hotuba za MagufuliAmetoa mwuongozo wa vitu gani vionyeshwe? Au wang'oe kabisa hizo TV?
Na hilo agizo linahusu zahanati/hospital za umma tu au na za binafsi?
Watoe tu agizo zote ziwe zinaonyesha matangazo ya vipindi vya TBC.