Huyu hakuandaliwa kuwa waziri, huwa anajibu maswali kwa spidi kubwa huku akiongeza mambo yasiyo na muhimu katika kujibu swali husika. Leo NS amemwambia ajibu kwa ufupi akapoa sana kwani hajazoea. Hakika uongozi ni kipaji.
Hilo fao lakujitoa hawezi kulitetea tena.