CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Naibu Katibu Mkuu Zanzibar CUF, Fake Suleiman akabidhi kadi kwa wanachama wapya wa Jimbo la Mfenesin Zanzibar.
Pia Naibu Katibu Mkuu amewaasa wanachama na wananchi kwa ujumla kuchukua tahadhali na kujikinga na ugonjwa wa CORONA Zanzibar. Amewataka wanachama na wanachi kuosha mikono na sabuni pamoja na maji yanayotiririka .
Pia Naibu Katibu Mkuu amewaasa wanachama na wananchi kwa ujumla kuchukua tahadhali na kujikinga na ugonjwa wa CORONA Zanzibar. Amewataka wanachama na wanachi kuosha mikono na sabuni pamoja na maji yanayotiririka .