Nahreel vs Mesen Selecta nani mkali

Nahreel vs Mesen Selecta nani mkali

kende

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2013
Posts
3,527
Reaction score
1,669
Hawa jamaa wote noma sana, wako vizuri kwenye kutengeneza nyimbo (maproducer), pia wote wako vizuri kwenye kuimba. Yupi unamkubali zaidi?
 
Mesen a.k.a mikono michafu ni hatare sana.... nahreal hagusi moto ule
 
Wekeni ngoma 5 za narhel(beats I mean) na za mensen watu wapime
 
Wekeni kazi zao 5 kwa 5 , then tu judge.
 
Nahreel yuko vizuri sana pande zote ingawa sijui labda ile combination yake na Aika ndio inawa-compliment wote kwa kuwa Mesen anafanya peke yake.

Tatizo la Nahreel katika production anamuiga sana Selebobo, mwanamuziki/producer wa kiNaija mwenye ngoma ya YoYo na aliyegonga ngoma ya Yemi Alade, Johnny. Sasa sijui ndio anathibitisha jina lake!?
 
  • Thanks
Reactions: amu
Nahreel ana vionjo vya kimataifa tofauti na mensen
 
#nahreel
1.Liz 1 -izo B
2.Chelewa-nav Kenzo
3.Nje Ya Box-weusi
4.Gere-weusi
5.Come Over-V~mdee


#mesen Selecter
1.Mbulula-juru
2.Sina Iman-sheta
3.Traveler-Solo Thang
4.Chapia-tash
5.Umechelewa-suma Mnazaleti.
 
kwa ile ngoma kanya boya!mesen mtu mbaya wewe kwa kuimba!navyomkubali huyu nigga yaani anaimba kama hayupo serious kivile lakini ngoma zake lazma uruke!.........kwa production mtoto nahreel mchafu sana
 
Back
Top Bottom