Ngoja waje kukupa muongozo.Wadau ninatafuta wheel chair nielekezeni maduka yenye bei ya kawaida. Nahitaji leo nataka kutoa msaada sehemu
Around Muhimbili nadhani kuna maduka ya vifaatiba kajaribu ukikosa utaelekezwa vinapopatikana.Size kubwa kabisa naipeleka kwa mgonjwa mmoja ni mzee
Hapo umetoa muongozo sasaSize kubwa kabisa naipeleka kwa mgonjwa mmoja ni mzee