Nahitaji watu waliosomea bima na wenye uzoefu husio pungua miaka miwili ya sekta hii,wawe na vyeti vya bima.Wawe wenyeji ktk mikoa ifuatayo, MWANZA, GEITA, MARA ,KIGOMA NA KAGERA.
Tuma CV pamoja na vyeti vya matokeo yako yaani transcript kwenda kwenye email ifuatayo bimaservices@gmail.com
Tuma CV pamoja na vyeti vya matokeo yako yaani transcript kwenda kwenye email ifuatayo bimaservices@gmail.com