Nahitaji viti na meza used vya office

Nahitaji viti na meza used vya office

kichwakipana

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2013
Posts
206
Reaction score
45
Habari wana jamiiforum
nahitaji used viti na meza vya ofisi mwenye navyo tafadhari
ahsanteni
0657784751
 
Hivi makontena ya Makonda yaliishia wa9i? Vile.

Bado Naendelea Kujifunza
 
Nenda Kariakoo Gerezani karibu na hoteli ya zamani ya Tansoma (karibu na uwanja wa Kidongo chekundu) au hapa karibu na fire ndizo sehemu wanazouza used office furniture...
 
Back
Top Bottom