Habari wadau, nipo Singida nina uhitaji wa idadi hiyo ya vifaranga vya chotara hasa hasa sasso, wenye umri wa siku moja . Kwa wazalishaji na wauzaji nahitaji
Na wasilisha.
N.B 1. kipaumbele watapewa wa mkoa wa Singida na Dodoma
2.ukiwa nao kuanzia 300 pia itafaa