Nina mpenzi wangu ambaye nimeanza naye mahsiano takribani miaka sita lengo ni kuwa na familia yani awe baba watoto,lkn cha kushangaza kila inapotokea kupata ujauzito ananishauri nitoe je ndoa ipo jamani?
Evelyn Salt, umesahau kuweka na alama ya kushangaa (!!!)6years? boyfriend???
Aaaaaa mi vijana boyfriends hapana taka kabisa mambo gani hayo!!!!!
Muacheeeee and i think you sound stupid
ACHA UJINGA WEWE hamna ndoa hapo!miaka 6 kila mimba unatoa? UNA UNDUGU NA MUNGU?wasichana wengine mna akili gani? umeniudhi! Ukipata nyingine shukuru mungu! ACHANA NAYE HUYO SI KUKUPOTEZEA MUDA TU ANAKUHARIBIA MAISHA pia! Daah!
Nina mpenzi wangu ambaye nimeanza naye mahsiano takribani miaka sita lengo ni kuwa na familia yani awe baba watoto,lkn cha kushangaza kila inapotokea kupata ujauzito ananishauri nitoe je ndoa ipo jamani?
Nina mpenzi wangu ambaye nimeanza naye mahsiano takribani miaka sita lengo ni kuwa na familia yani awe baba watoto,lkn cha kushangaza kila inapotokea kupata ujauzito ananishauri nitoe je ndoa ipo jamani?