INRI
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 1,356
- 2,402
- Thread starter
- #41
Dar umenikumbusha mbali sana, yaani kipindi icho ndio nimeingia 1st year chuo, test yangu ya kwanza ya Somo la CCC+ (programming language) nilipata 0/10% nilipigwa na butwaaaaaah, nilipata mpaka tumbo la kuhara, kila nikigeuka uku naskia watu sauti zinasema hapa Udsm-Coict watu wana disco sana nikajua nime kwisha ila cha kushangaza nilipata access ya kufanya UE na pia ilo somo siku sup mungu ni mkubwa sasaivi najishughulisha na uuzaji wa chakula cha mifugo ya kuku.
Duuh, hongera na pole mkuu.
Hapo Coict ni kweli ukikaa kiree unaliwa kichwa.

