Sasa unataka kuoa sababu ya UMRI,FASHENI au ndio umempata mnyama umpendae..............................???
Kutamani kuoa/kuolewa huwa kunakuja baada ya kupata the right candidate.............................haya tuambie..............
We umempata nani anayekupa kiwewe cha kutaka kuoa...................au unataka kutimiza wajibu tu....................???
Nionavyo mimi unafanya maandalizi ya KUIVUNJA NDOA ambayo hata hujaifunga!
SUGUA GOTI ILI URUDI KUWA BINADAMU...............
Sherehe yangu itafungwa zizini,,nitalishwa keki na wanyama bhana.
Tia neno
Unaogopa laana ngoja wakucheat kama unacheza beki utaenda mwenyewe kucheza winga
Mbuzi punda na ngombe hawacheat ni kibuti cha msimu tuwatanicheat kina nani tena.....????mbuzi,punda au ng'ombe?...............
uosofia...................nuore matatizo ifo mronyi......................
laa kucha sir...........ngitarawa Ruwa.........ifo ndotonyi nache.....Eliza,Janet,Asha n.k...........
Mbuzi punda na ngombe hawacheat ni kibuti cha msimu tu
Sio...........punda,mbuzi n.k.......................mwee...................Kyala mnunu fijo...............mwombe naye ataitika.....
atakuonyesha...................
Sasa unataka kuoa sababu ya UMRI,FASHENI au ndio umempata mnyama umpendae..............................???
Kutamani kuoa/kuolewa huwa kunakuja baada ya kupata the right candidate.............................haya tuambie..............
We umempata nani anayekupa kiwewe cha kutaka kuoa...................au unataka kutimiza wajibu tu....................???
Nionavyo mimi unafanya maandalizi ya KUIVUNJA NDOA ambayo hata hujaifunga!
SUGUA GOTI ILI URUDI KUWA BINADAMU...............
lol hili jukwaa ni noma i wish watu wangekuwa wanavyopost vitu na picha zao halali zingekuwepo hakika tungekimbiana tungehisi wengine sio watu khaa hii post imenifanya nicheke sana na kushangaa hivi uchawi upo jamani?? au ni tatizo la kisaikolojia? sijui sana lakini
Ina mana sasa hivi sina chembe ya ubinadam?