Nahitaji ushauri kutoka kwa Wazoefu

Nahitaji ushauri kutoka kwa Wazoefu

Brown Mduma

Senior Member
Joined
Sep 29, 2020
Posts
184
Reaction score
294
Mimi ni mfanyabiashara ambae bado na hustle kufikia ndoto zangu nilizojiwekea ila nataka ushauri kidogo.

Mtu hustler kama mimi mwanamke ambae atanifaa kwa future yaani ntakae kuja kumuoa, awe ambae hana kazi kabisa yaani anaenitegemea mimi kwa kila kitu au niwe na mwanamke ambae nimfanyakazi (muajiriwa) yaani mwisho wa mwezi anapokea sio chini ya 500K ambae naweza kuambia bhana mimi nina 1M apa unaweza kuongeza lak 5 tununue kiwanja au hata nikikwama sehemu naweza kumkopa kiasi flani cha pesa afu nikamrudishia baada ya kusolve shida yangu, yupi anaenifaa apo kati ya ambae she has nothing to offer than her body au ambae ni muajiriwa anaingiza pesa kila mwezi?

Najua humu kuna hustlers wengi ambao wameoa au wako kwenye relationship wanaweza kunipa ushauri mzuri kutokana na experience zao juu ya hili.
 
Mimi ni mfanyabiashara ambae bado na hustle kufikia ndoto zangu nilizojiwekea ila nataka ushauri kidogo.

Mtu hustler kama mimi mwanamke ambae atanifaa kwa future yaani ntakae kuja kumuoa, awe ambae hana kazi kabisa yaani anaenitegemea mimi kwa kila kitu au niwe na mwanamke ambae nimfanyakazi (muajiriwa) yaani mwisho wa mwezi anapokea sio chini ya 500K ambae naweza kuambia bhana mimi nina 1M apa unaweza kuongeza lak 5 tununue kiwanja au hata nikikwama sehemu naweza kumkopa kiasi flani cha pesa afu nikamrudishia baada ya kusolve shida yangu, yupi anaenifaa apo kati ya ambae she has nothing to offer than her body au ambae ni muajiriwa anaingiza pesa kila mwezi?

Najua humu kuna hustlers wengi ambao wameoa au wako kwenye relationship wanaweza kunipa ushauri mzuri kutokana na experience zao juu ya hili.
Case yangu nisawa nayako,hata mm naungana naww kusubiria ushauri wa wawakubwa hapa wenye experience zao....@Mshana Jr Intelligent businessman Bujibuji Simba Nyamaume makaveli10 mzabzab UMUGHAKA Shimba ya Buyenze GENTAMYCINE Bundakwetu Sexless Gilly123 Nakadori Saint Anne To yeye ...nawenginei wote ambao hawajatajwa hapa kuja kutoa ushauri.nawasilishahapa
 
Tafuta mwanamke anae ingiza kitu hata kama ni kidogo miaka hii na usawa huu unaoaje mwanamke yupo yupo tu home kwao hana biashara wala ajira labda kama ni graduate mwenye malengo! Sio slayqwin!
 
Tafuta mwanamke anae ingiza kitu hata kama ni kidogo miaka hii na usawa huu unaoaje mwanamke yupo yupo tu home kwao hana biashara wala ajira labda kama ni graduate mwenye malengo! Sio slayqwin!
Asante kwa ushauri mkuu..... unakuta sasa ambae hana kitu ndio anakuganda zaidi apo ndio wananiachaga njiapanda
 
Vijana sikuhizi mnatafuta wanawake Kwa kigezo cha pesa?

Tafuta mwanamke atakayekuwa mama mzuri kwa wanao na ambaye atakupenda kwa vipindi vyote.
Mama mzuri kwa watoto anakuaje mkuu kama hutojali nifafanulie kidogo
 
Mimi ni mfanyabiashara ambae bado na hustle kufikia ndoto zangu nilizojiwekea ila nataka ushauri kidogo.

Mtu hustler kama mimi mwanamke ambae atanifaa kwa future yaani ntakae kuja kumuoa, awe ambae hana kazi kabisa yaani anaenitegemea mimi kwa kila kitu au niwe na mwanamke ambae nimfanyakazi (muajiriwa) yaani mwisho wa mwezi anapokea sio chini ya 500K ambae naweza kuambia bhana mimi nina 1M apa unaweza kuongeza lak 5 tununue kiwanja au hata nikikwama sehemu naweza kumkopa kiasi flani cha pesa afu nikamrudishia baada ya kusolve shida yangu, yupi anaenifaa apo kati ya ambae she has nothing to offer than her body au ambae ni muajiriwa anaingiza pesa kila mwezi?

Najua humu kuna hustlers wengi ambao wameoa au wako kwenye relationship wanaweza kunipa ushauri mzuri kutokana na experience zao juu ya hili.
Pole mtaalamu. Pambana na biashara zako tengeneza pesa . hayo mengine achana nayo yatakuja automatic katika majira yake sahihi.. kikubwa jiheshimu na utunze hadhi yako ya kiume..
 
Be a gentroman tafuta maisha bora kama hustler when right time ikifika basi na mtu sahihi atakuja but ili kuondoa unyonge kama mwanaume rijali kuwa na mpoozo ambao unakuwa huna malengo nae kiivyo.
 
Mimi ni mfanyabiashara ambae bado na hustle kufikia ndoto zangu nilizojiwekea ila nataka ushauri kidogo.

Mtu hustler kama mimi mwanamke ambae atanifaa kwa future yaani ntakae kuja kumuoa, awe ambae hana kazi kabisa yaani anaenitegemea mimi kwa kila kitu au niwe na mwanamke ambae nimfanyakazi (muajiriwa) yaani mwisho wa mwezi anapokea sio chini ya 500K ambae naweza kuambia bhana mimi nina 1M apa unaweza kuongeza lak 5 tununue kiwanja au hata nikikwama sehemu naweza kumkopa kiasi flani cha pesa afu nikamrudishia baada ya kusolve shida yangu, yupi anaenifaa apo kati ya ambae she has nothing to offer than her body au ambae ni muajiriwa anaingiza pesa kila mwezi?

Najua humu kuna hustlers wengi ambao wameoa au wako kwenye relationship wanaweza kunipa ushauri mzuri kutokana na experience zao juu ya hili.
Hili jina sio geni kabisa kwangu.
Ni jina lako halisi ama la kutunga?
 
Kwa maelezo yako tu hapo tayari ushachagua upande hapa unatafuta kuungwa mkono tu.
Maana mmoja umemnanga sana huku mwingine ukimsema in a +ve way. Huyo asie na kazi ati hana cha kukupa zaidi ya mwili wake, seriously???
Utasemaje mke hana anachooffer zaidi ya mwili? Mke au demu wako tu huyo?

Halafu mwanaume utapigiaje hesabu pesa ya mkeo?? We kijana achana na mawazo ya kuiwazia pesa ya mkeo, pesa yake ni yake na yako ni yenu.

Yeyote kati ya hao anafaa, angalia vigezo vingine hicho cha kipato achana nacho maana kwa hapo wote hawana wanakutegemea wewe.
 
Back
Top Bottom