Asante umenipa mwanga nitaanza kufanyia kaziKuna baadhi ya tabia hapo ambazo nilikuwa nazo kama wewe ila ukifikia umri fulani haihitaji ushauriwe ni namna tu ya kujiongoza mwenyewe
Mimi ni miongoni mwa watu waliokuwa hawaongei maneno ma3 kwa mtu yeyote hata mzazi nikikutana naye ni salamu na ishu nyingine basi, wakija wageni nasalimiana nao nikimaliza naondoka nakaa mwenyewe
Kilichonibadili ni chuo baada ya kupewa assignment ya kundi, nakumbuka nilikuwa mwenyekiti kundini, tukapanga muda wa kukutana kama saa kumi na mbili jioni, hakuna aliyetokea nikaondoka.... Imefika saa Tatu usiku wadau ndio wanakuja tukafanye kazi nikanyamaza kama kawaida yangu ila walipozidi kuzungumza nikawa mkali kwa kuwaropokea kuwa hawajali muda......
Asante Dr. Joseph popote ulipo, kuanzia hapo akawa ni mtu ambaye anakuja kunipigisha stori ili apotezee tukio lilotokea lakini nilipata matokeo chanya, yakuanza kujichanganya, stori za JF nazipeleka za uongo na ukweli ili mradi wa furahi nikajikuta napata chain ya marafiki ndugu na watu wengi kunikubali........
Kuna msemo amewahi kuniambia moja ya mashangazi zangu; MAISHA NI KUPANGA NA KUCHAGUA, HUKU WEWE UKIWA MPANGAJI AU MPANGUAJI YOTE UTAKAVYOONA WEWE
Katika hayo yote na umri ulio nao ilikubidi uanze kujiongeza kwa kubadilika mwenyewe, lakini ukiendelea kushupaza shingo, unaweza kukuta hata msiba umetokea au tatizo fulani au sherehe au kazi au chochote kile wataacha kukwambia kwasababu ya jeuri uliyo nayo
Yangu ni hayo kwa leo
Mr. Ben
Mimi mwenyewe nilikua najiona niko sawa ila kwasasa hata hao watu wachache hawapo tena sio ndugu wala marafikiAisee mimi hi tabia naipenda sana hata...kwenye simu...nina namba za watu muhimu tu pamoja na marafiki wachache sana....Lakini mimi kuna kitu kilisababisha hadi niwe kwenye tabia kama hiyo..
Hizi ndo kama global alliance,QNeT,inclusive forex,Herbal life sio?Jiunge kwenye Network marketing company yoyote ,fanya kwa mwaka mmoja. Aisee hutojuta for the rest of your life.
Umetuma thread mida mibovu, wenye akili wamelala muda huu.
Pesa inatatua kila kitu..hata kifo inakirefushaSidhan kama pesa ndio utatuzi wa kila kitu
Dah kumbe sipo mwenyewe, huwa nachukia kelele sana.Binafsi hata mimi naipenda ila wengine sasa ndio wanapata shida sasa shida zao mimi hazinihusu maana huwezi nilazimisha niongee na wewe iwe unataka au hutaki,kama una jambo la msingi njoo ila kama huna wala siwezi kupoteza mda wangu
Hata mimi ni salamu afu miendo,nina marafiki wachache sana na vijiwe vichache saaana na bahati nzuri huwa napenda mpira tena kuangalia pekeyangu makelele na mabishano ya kwenye vibanda umiza naona kero sana.Uzuri wa hii tabia ni kwamba hutokuja kugombana na mtu popote pale si ofisini au nyumbani ila sasa uwe tayari kupitwa na fursa au matukio lakini pia jitahidi kujenga finanancial stability na kama ni shle uwe na uwezo hasa bila kutegemea wengine
Fisiem mpumbavuJiunge kwenye Network marketing company yoyote ,fanya kwa mwaka mmoja. Aisee hutojuta for the rest of your life.
Leo hujaandika pumba pumbuPendelea kufanya ibada, mshirikishe Mungu akusaidie kukurekebisha.
Pia andika ukutani kwako kijikaratasi cha kuikataa hiyo tabia na kila mara sema nafsini mwako, Mimi Ni mtu mpya
Mkuuupo salama na hii comment yako?Katombwe