Nahitaji turubai la kukodisha

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,766
Reaction score
2,685
Habari zenu woote,

Nahitaji kukodishiwa turubai mfano wa hili hapa chini, kwa muda wa wiki moja kw ajili ya klinik ya afya ngozi BURE.Itafanyika Mbezi mwisho , Dar es salaam.

Kama unajua wakodishaji, tafadhali nijulishe: 0713-039 875.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…