Nahitaji trekta la kukodi

Nahitaji trekta la kukodi

kambipopote

Senior Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
121
Reaction score
22
Habari zenu wadau. Nahitaji trekta la kukodi kwa mwezi mmoja, nipo Iringa na nitalitumia huku Iringa. Msaada tafadhali.
 
Habari zenu wadau. Nahitaji trekta la kukodi kwa mwezi mmoja, nipo Iringa na nitalitumia huku Iringa. Msaada tafadhali.
Hilo trekta unalitaka lini, na shamba lako linaukubwa gani!

Mimi ninfanya biashara ya kukodisha trekta likiwa na vifaa vyote vya kazi.
 
Back
Top Bottom