Devid Y amos
Senior Member
- Jul 3, 2014
- 151
- 27
Iwe htc,samsung au sony
bajeti 250,000
0719210905
bajeti 250,000
0719210905
Wafrika bwana. yeye kaweka choice yake, Sony au Sumsung. lini miafrka tutaendelea?mkuu kwa 250 nakupa Huawei P6
Ni nyeupe in colour
Ram 2GB
Camera ya nyuma 8MP
Camere ya mbele 5MP
Haina mkwaruzo hata mmoja. Ina mwezi mmoja tu na ina kila kitu chake. earphone charger cover hadi na box lake nakupa. ni PM
Tutaendela kama kisima kitakuwa katika mpango uliopitishwa mahususi kabisa katika kupambana na malaria sugu maana hata mimi sikujua kwanini lile gari lilizima. Ila waandishi wa habari wali wahi kufika mapema sana.Wafrika bwana. yeye kaweka choice yake, Sony au Sumsung. lini miafrka tutaendelea?
ha ha ha ha ha haTutaendela kama kisima kitakuwa katika mpango uliopitishwa mahususi kabisa katika kupambana na malaria sugu maana hata mimi sikujua kwanini lile gari lilizima. Ila waandishi wa habari wali wahi kufika mapema sana.