Nahitaji shamba la kununua

Nahitaji shamba la kununua

lups

Member
Joined
Dec 9, 2012
Posts
26
Reaction score
6
Shalom, habarini za kutwa, nina interest ya kununua shamba maeneo ya kuanzia Kibaha kwenda hadi karibu na Mlandizi hapo katikati, kuanzia heka moja hadi tatu.

Isiwe karibu sana na lami, mwenye ufahamu naomba anijulishe, ila isiwe ya wapigaji wale wanaotaka pesa ya mteremko kwa utapeli.

Najua wapo, barikiwa.
 
Shalom, habarini za kutwa, nina interest ya kununua shamba maeneo ya kuanzia Kibaha kwenda hadi karibu na Mlandizi hapo katikati, kuanzia heka moja hadi tatu.

Isiwe karibu sana na lami.mwenye ufahamu naomba anijulishe, ila isiwe ya wapigaji wale wanaotaka pesa ya mteremko kwa utapeli..najua wapo , barikiwa
shamba lipo kibaha. nipe namba zako nikuunganishe na mwenyewe myajenge
 
Mi ninauza shamba eneo la kongowe kijiji cha vikuge kibaha km 5 toka morogoro road hadi kijijini vikuge kisha km 2 hadi shambani. Shamba lina slope kidogo halipo tambarare kabisa lipo karibu na ranch ya Jenerali Ulimwengu lkn pia pembeni kuna shule ya sekondari km mita 500 hv toka ktk shamba langu

Bei Tsh M18 kwa eka zote 6 za shamba lote.

Document zote za ofisi ya ardhi wilaya zipo.

Nipigie kwa maelezo zaidi 0758 308193

Linafaa kwa kilimo, ufugaji au kijenga shule. Baranara inafikika muda wote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom