Nashukuru sana.Wasilina na UTT AMIS, utapata ushauri mzuri.
Sawa.Trh 3/9/2022 itakua Jumapili
Man United v Arsenal
Chukua hicho kibunda mwekee Arsenal kisha subiria maajabu
Arsenal yupo kileleni
Utanishukuru
Asante sana.Fuatilia hao UTT,nasikia wanatoa asilimia 12 kama faida
Naomba ufafanuzi?Liquid fund au bond fund 12% hadi 14% nakundelea
Kaka habari, jamaa alikupa ufafanuzi wowote? Natamani kujua uliyo elekezwa.Naomba ufafanuzi?