Nahitaji Sea Salt

Nahitaji Sea Salt

Fortunatus Buyobe

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2011
Posts
463
Reaction score
1,130
Wadau,

Nahitaji pure sea salt isiyowekewa madini ya joto au chochote. Hii ni kwa mahitaji yangu ya kukaushia ngozi za wanyama. Ikipatikana kutoka Dar au Bagamoyo itakuwa safi.

Piga 0758434141 nipe bei yako nilinganishe na suppliers wengine. Ikiwa nzuri ni kazi ya kudumu.
 
Wasiliana na watu wa Singida
Pale Ziwa Singidani nakumbuka wakati Nasoma Mwenge Secondary School miaka hiyo Chumvi hii ipo kibaooo.
Wanavuna kutoka Ziwa Singidani,no madini joto ila wao wanatumia zao hivyo hivyo,hahaha aisee
 
Wasiliana na watu wa Singida
Pale Ziwa Singidani nakumbuka wakati Nasoma Mwenge Secondary School miaka hiyo Chumvi hii ipo kibaooo.
Wanavuna kutoka Ziwa Singidani,no madini joto ila wao wanatumia zao hivyo hivyo,hahaha aisee
Nimeongea na watu wa singida. Hiyo chumvi unayoniambia siyo inayohitajika kiwandani. Sisi tunahitaji kwa ajiri ya kuprocess ngozi za wanyama for exportation. Asante lakini naomba niulizie kwa bagamoyo na dar.
 
Wadau hitaji langu bado lipo pale pale naiamini jf naomba mnitafutie mwenye sea salt
 
mkuu kwanini usiwajaribu sea salt ya bagamoyo pale mapinga shule naimani watakusaidia
 
Back
Top Bottom