Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Hommie kwani ile "magic moment" umekunywa saa ngapi mbona unatoa mapoint hapa..au hangover hii?Nyumba ndogo siyo issue kabisa. Achana na hayo maneno ya mitaani maana angalia waliopitia hizo style za maisha wakueleze ugumu wake ulivyo. Maana hapo utakuwa na familia mbili pia ndo mwanzo wa kulogana na kuanza kusababisha matatizo mengi zaidi kwenye familia yako. Jitunze kijana ukioa unaishi na mkeo kwa shida na raha hayo mengine ya kupita tu. Kama hujaridhika na mke unayetaka kumuoa then usioe kabisa. Vuta subira ujipange vizuri. Katika hali ya kawaida ukimpenda mkeo kwa dhati sidhani hata kama utakuwa na muda wa kurandaranda.