Nahitaji Printer ya Picha

Nahitaji Printer ya Picha

mumanyi

Member
Joined
Jul 18, 2015
Posts
19
Reaction score
4
Habari wakuu, mwenzenu nahitaj kuongeza huduma ya kusafisha picha za kawaida pamoja na passportsize ktk ofis yangu,niko maeneo ya kijjn ningependa kupata walau EPSON used naweza kuipata wap na kwa bei gani? Niko Bukoba
 
Habari wakuu, mwenzenu nahitaj kuongeza huduma ya kusafisha picha za kawaida pamoja na passportsize ktk ofis yangu,niko maeneo ya kijjn ningependa kupata walau EPSON used naweza skuipata wap na kwa bei gan? Niko Bukoba
used sikushauri tafuta epson l220 ni bei nzuri 400k..ni mkombozi
 
Hit used naeza pata kwa sh ngap
 
Habari wakuu, mwenzenu nahitaj kuongeza huduma ya kusafisha picha za kawaida pamoja na passportsize ktk ofis yangu,niko maeneo ya kijjn ningependa kupata walau EPSON used naweza skuipata wap na kwa bei gan? Niko Bukoba
Telemkia dar ndio mwisho wa electronics zote, jimwage kule posta
 
Back
Top Bottom