Nahitaji pikipiki za mkataba

Nahitaji pikipiki za mkataba

Hale Janja

Member
Joined
Dec 16, 2019
Posts
5
Reaction score
3
Habari,

Nakaribia kufungua kampuni ya kutoa ya courier services (delivery), na nimeona gharama za kununua vyombo vya moto kama pikipiki, Tricycles ni kubwa na nikaona ni rahisi kama naweza kutumia pikipiki za mkataba wa miezi 10 hadi 13 kupunguza gharama za kuanzia.

Hivyo nilikua nahitaji mtu anaefahamu mtu anaetoa, duka au mwenye nayo pikipiki, bajaj au zile toyo za matairi 3 kwa mkataba anisaidie.

Nasoma comment zenu
 
hupaswi kuhangaika na duka bali wewe tafuta tender ukipata utatafuta bodaboda utawapa kazi kwa mwezi na uwape malipo kutokana na kazi...wewe ununue vifaa vya kubebea tu ambavyo utawapa kama back packs za brand yako na upate logistic personnel ambae atasimamia hizo kazi...simple...
 
Naungana na Manase fast courier

Ukianza ajiri Bodaboda utaanza umia kichwa. Bora uwe umechukua namba za boda kama 10 wa eneo lako la jirani kukiwa na dili la delivery unamcheki alie jirani. Unamlipa akisha deliver.
 
Back
Top Bottom