Nahitaji ofisi ya kupanga

Nahitaji ofisi ya kupanga

Joined
May 8, 2015
Posts
52
Reaction score
30
Natafuta ofisi ya kupanga ya bei nafuu, barabara ya Ali Hassan Mwinyi kuanzia maeneo ya Morocco hadi Posta. Offer yangu ni Tsh. 300,000/= kwa mwezi. Tuwasiliane kupitia: 0657878416.
 
Nenda pale magogoni,ofisi ipo wazi,mpangaji kamaliza mkataba wake na kaondoka juzi,uliza zilipokuwa ofisi za WAMA,nafasi ipo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom