Nahitaji nyumba ya kupanga

Nahitaji nyumba ya kupanga

Joined
Feb 26, 2013
Posts
13
Reaction score
4
Habari zenu wana JF msaada kupata nyumba yakupanga MASTER BEDROOM cost 100,000/= if not master basi kiwe btn 50000 up to 100000 pesa tasilimu ya Tanzania.
maeneo ya Mwenge, Sinza,Makumbusho,Kijitonyama pasiwe mbali sana na Usafiri wa Daladala.

#samahanikwahivyovigezokamavitakuwakero
 
Habari zenu wana JF msaada kupata nyumba yakupanga MASTER BEDROOM cost 100,000/= if not master basi kiwe btn 50000 up to 100000 pesa tasilimu ya Tanzania.
maeneo ya Mwenge, Sinza,Makumbusho,Kijitonyama pasiwe mbali sana na Usafiri wa Daladala.

#samahanikwahivyovigezokamavitakuwakero
We nenda maeneo hayo unayohitaji waone madalali halafu wape sifa za chumba chako waachie na namba ya simu hata week ni kubwa utakua ushapata chumbua hiko
 
Sipo DSM kwa sasa ndio maana nasumbuka kutafuta kwa huku na
We nenda maeneo hayo unayohitaji waone madalali halafu wape sifa za chumba chako waachie na namba ya simu hata week ni kubwa utakua ushapata chumbua hiko
baadhi ya mitandao yakijamii
 
Sipo DSM kwa sasa ndio maana nasumbuka kutafuta kwa huku na baadhi ya mitandao yakijamii
Kama unaeza mpata mtu akakufanyia hivo au ukapata sehem ya kukaa siku mbili au tatu wako fasta sana na wanasaidia sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom