Huu ni msimu mzuri kutafuta nyumba.Nahitaji Nyumba ya vyumba viwili, sebule, jiko na choo cha ndani. Bajati 200000. Dalali hatakiwi. Mwenye nayo ani Pm.
Maeneo yapi?Nahitaji Nyumba ya vyumba viwili, sebule, jiko na choo cha ndani. Bajati 200000. Dalali hatakiwi. Mwenye nayo ani Pm.
Basi bandiko lako linamapungufu maana ninavoelewa hata huko Dar kuna preference ya location. Isijekua wataka kuishi Kimara au Ubungo lakini utaletewa nyumba ipo Nyantera au Bongo la Ndege au hata Gezaulole kama sio Mwasonga....maana kote huko ni DarDar tu mkuu
ni nyantira kamanda..!!Basi bandiko lako linamapungufu maana ninavoelewa hata huko Dar kuna preference ya location. Isijekua wataka kuishi Kimara au Ubungo lakini utaletewa nyumba ipo Nyantera au Bongo la Ndege au hata Gezaulole kama sio Mwasonga....maana kote huko ni Dar
Mwenye Nyumba wataelewa tu, na pia Mwenye Nyumba atakuja Pm, awezi kukoment.Basi bandiko lako linamapungufu maana ninavoelewa hata huko Dar kuna preference ya location. Isijekua wataka kuishi Kimara au Ubungo lakini utaletewa nyumba ipo Nyantera au Bongo la Ndege au hata Gezaulole kama sio Mwasonga....maana kote huko ni Dar
me sitaki unilipe udalali ila kuna nyumba naifahamu wanapangisha VIP upo tayali..eneo kimaraMwenye Nyumba wataelewa tu, na pia Mwenye Nyumba atakuja Pm, awezi kukoment.
Hahahaa, sorry mkuuni nyantira kamanda..!!
amna shida kamandaHahahaa, sorry mkuu
weka namba ya simuNahitaji Nyumba ya vyumba viwili, sebule, jiko na choo cha ndani. Bajati 200000. Dalali hatakiwi. Mwenye nayo ani Pm.