Wakuu nahitaji nyumba ya kuishi kwa miezi 12.
1)Iwe sehemu salama
2)vyumba 2 vya kuishi,ka sitting room na kajiko.
3)Inaweza kuwa imekuwa finished au la.
4)maji si tatizo
5)umeme si tatizo.
6)karibu na daladala na gari iweze kuingia ndani.
7)gate za milango ya kuingilia ndani
8)madirisha salama
9)iwe mtaani
10)Tusiishi zaidi ya familia 2 kwenye compound hiyo.
11)Tandika simaanishi Yombo.
uwezo wangu TZS 350,000.00
mengine kama yana utata nitauliza.
1)Iwe sehemu salama
2)vyumba 2 vya kuishi,ka sitting room na kajiko.
3)Inaweza kuwa imekuwa finished au la.
4)maji si tatizo
5)umeme si tatizo.
6)karibu na daladala na gari iweze kuingia ndani.
7)gate za milango ya kuingilia ndani
8)madirisha salama
9)iwe mtaani
10)Tusiishi zaidi ya familia 2 kwenye compound hiyo.
11)Tandika simaanishi Yombo.
uwezo wangu TZS 350,000.00
mengine kama yana utata nitauliza.