Visionmark
Senior Member
- Nov 24, 2011
- 158
- 28
Heshima kwenu wana JF, mimi ni kijana ambaye mnamo mwaka 2010 nilimaliza shahada yangu ya kwanza ktk masuala ya usimamizi wa wanyamapori (BSc. Wildlife Management), hv sasa nina mwaka nikiwa nimeajiriwa ktk kampuni moja binafsi jijini Dsm ambayo haiendani kabisa na kile nilichosomea. Hivyo nawaomba wana JF kama kuna mtu anataarifa yakuwepo kwa taasisi binafsi linayojihusisha na uhifadhi/usimamizi wa wanyama pori au mazingira yenye nafasi za kujitolea basi anijuze! Na kheri ya mwaka mpya 2012 kwenu nyote!