Malaika AD
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 496
- 316
Hapana. Nimeweka age kwasababu ndyo watu wengi wanaelewa hivyo. Mie naamini age is about how you think and act. Unaweza kuwa na miaka 60 lakini ukafikiri na kutenda kama kijana wa miaka 21. Cha msingi ni kujipima mwenyewe how you think and act :smile-big:Yaani ilibakia kidogo tu ningekamata fursa, tatizo ni hicho kigezo cha kwanza umri nimezidi mwaka mmoja, kwani wewe Rohombaya utataka cheti cha kuzaliwa siku ya usaili?