Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,078
- 10,426
Ninahitaji mwenza wa maisha wa muda mwanamke kuanzia July 1st, 2014 hadi june 30th, 2015
Jukumu:
Kuniliwaza
Sifa:
1. Awe na afya njema umri kuanzia miaka 18 to 35.
2. Awe na elimu inayomsaidia kuishi bila taabu katika karne hii
3. Asiwe na kazi inayombana sana
4. Awe anaishi Dar au awe tayari kuhamishia shughuli zake Dar.
5. Asiwe maarufu ( Msanii, mwanamichezo, mwanasiasa etc).
6. Asiwe anahitaji mtoto kwa sasa.
7. Asiwe anatumia pombe/sigara kwa kiasi cha juu.
8. Asiwe Mchoyo
Benefits
1. Chakula na malazi bure kwenye nyumba iliyopo karibu na bahari
2. matibabu bure.
3. Usafiri wa kwenda kazini na kurudi ndani ya Dar self driving/ au aendeshwe bure kwa 2012 model sports car
4. Shopping yake binafsi ya 2.5m kila mwezi.
5. Pocket money ya siku 100,000/-.
6. Atapumzika siku 6 kila mwezi aweze kufanya mambo yake binafsi.
7. Mafao mwisho wa mkataba yapo kuanzia 24m na kuendelea kutokana na juhudi zako
Hakuna kupika, laundry wala house cleaning business. Labda apende mwenyewe.
This contract is renewable kama tutaona inafaa.
Atakayekuwa interested anipm kwa maelekezo zaidi
Ahsanteni sana wote mliokuwa interested. Nimepata pm nyingi sana nimeshindwa hata kufanya selection. Wote mlikuwa mnafaa lakini kwa bahati mbaya kuna nafasi moja tu hivyo ikanibidi nitumie njia ya kubahatisha ili kupunguza idadi. Wote niliokutana nao nadhani wamepata stahili zao za usumbufu kwenye simu zao au akaunti za benki walizoziacha. Mniwie radhi kama kuna jambo lolote ambalo hamkuridhika nalo ila mjue tu si nia yangu iwe hivyo. Pia personal information zote huwa ninazifuta mara ukiconfirm kwamba umepata stahili zako. Watanzania wanavutia sana.
Ahsanteni wote kwa upendo wenu mliouonyesha
May 16th, 2014
Jukumu:
Kuniliwaza
Sifa:
1. Awe na afya njema umri kuanzia miaka 18 to 35.
2. Awe na elimu inayomsaidia kuishi bila taabu katika karne hii
3. Asiwe na kazi inayombana sana
4. Awe anaishi Dar au awe tayari kuhamishia shughuli zake Dar.
5. Asiwe maarufu ( Msanii, mwanamichezo, mwanasiasa etc).
6. Asiwe anahitaji mtoto kwa sasa.
7. Asiwe anatumia pombe/sigara kwa kiasi cha juu.
8. Asiwe Mchoyo
Benefits
1. Chakula na malazi bure kwenye nyumba iliyopo karibu na bahari
2. matibabu bure.
3. Usafiri wa kwenda kazini na kurudi ndani ya Dar self driving/ au aendeshwe bure kwa 2012 model sports car
4. Shopping yake binafsi ya 2.5m kila mwezi.
5. Pocket money ya siku 100,000/-.
6. Atapumzika siku 6 kila mwezi aweze kufanya mambo yake binafsi.
7. Mafao mwisho wa mkataba yapo kuanzia 24m na kuendelea kutokana na juhudi zako
Hakuna kupika, laundry wala house cleaning business. Labda apende mwenyewe.
This contract is renewable kama tutaona inafaa.
Atakayekuwa interested anipm kwa maelekezo zaidi
Ahsanteni sana wote mliokuwa interested. Nimepata pm nyingi sana nimeshindwa hata kufanya selection. Wote mlikuwa mnafaa lakini kwa bahati mbaya kuna nafasi moja tu hivyo ikanibidi nitumie njia ya kubahatisha ili kupunguza idadi. Wote niliokutana nao nadhani wamepata stahili zao za usumbufu kwenye simu zao au akaunti za benki walizoziacha. Mniwie radhi kama kuna jambo lolote ambalo hamkuridhika nalo ila mjue tu si nia yangu iwe hivyo. Pia personal information zote huwa ninazifuta mara ukiconfirm kwamba umepata stahili zako. Watanzania wanavutia sana.
Ahsanteni wote kwa upendo wenu mliouonyesha
May 16th, 2014