Nahitaji mwanaume mwenye mapenzi ya dhati

Habari Wana Love connect, Nina miaka 25,single mother Wa Mtoto mmoja,nahitaji mpenzi baadae awe Mume kama tutakubaliana na kuelewana, ni muislam, shughuli zangu za ujasiliamali, naishi dar

Kiumbo ni mnene Wa wastan urefu ft5.6 rangi ya maji ya kunde,
Nahitaji humble man, mcheshi( kwani nami ni mcheshi pia) awe muislam age kuanzia
29-30
Kwa aliye serious ni PM
Mzazi mwenzako yuko wapi?? Je ukimpata mwanaume alafu siku moja ya mapumziko mzazi mwenzio akasema umpeleke mtoto kwake itakuwaje?? Mawasiliano ya wewe na mzazi mwenzio yakoje??
Hili lazima ilifikirie, wanaume hatupendagi ujinga vinginevyo utatumika tu.
 
Naambiwa tangu mwaka jana orodha ya wadada wanaotafuta waume wa kuwaoa imeongezeka. .hivi tatizo ni nini?
 
Hawako tayar wanachaguwa sijuwi awenamachoomskubwa nitafute mm kwanza sina hatadem mama watoto kafariki karibuni
 
Mwanaume KAZI pumbu urembo
 

Attachments

  • tapatalk_1494044662777.jpeg
    tapatalk_1494044662777.jpeg
    12.6 KB · Views: 26
We una akili kweli umeshazalishwa uko aliekuzalisha kwann hajakuoa unaonekana ww una matatizo halafu mwanaume gani ana huo umri hana mchumba au mke yani ukiona umefikisha miaka 25 hujaelewa ujue ndo bac tena we utakuwa wa kupigwa miti na kuachwa
 
We una akili kweli umeshazalishwa uko aliekuzalisha kwann hajakuoa unaonekana ww una matatizo halafu mwanaume gani ana huo umri hana mchumba au mke yani ukiona umefikisha miaka 25 hujaelewa ujue ndo bac tena we utakuwa wa kupigwa miti na kuachwa
Haya maneno yako makali sana hayana hekima.
Tumia busara kidogo.
Na wanaume mnaotukana hivi ndio mnaowapa wanawake mimba na kupotea.
 
Habari wana Love connect,

Nina miaka 25, single mother wa mtoto mmoja, nahitaji mpenzi baadae awe mume kama tutakubaliana na kuelewana, ni muislam, shughuli zangu za ujasiliamali, naishi Dar. Kiumbo ni mnene wa wastani urefu ft5.6 rangi ya maji ya kunde.

Nahitaji humble man, mcheshi( kwani nami ni mcheshi pia) awe muislam age kuanzia
29-30

Kwa aliye serious ni PM

Ninamjuwa mmoja Ana sifa zote, tofauti ni mkiristo. MUNGU ni mmoja.
 
Unatafuta mume humu JF wakati mtaani kwenu ulipata mwanaume akakupa mimba ww ukaitoa labda kama umeacha tabia ya kutoa mimba utapata mume ila kama hujaacha ndoa utaisikia tu kwa wenzako wanaojua kulea mimba
 
Yani Wewe ni Mcheshi halafu na unaemtaka nae awe mcheshi? Kwa mtazamo wangu nazani ili kubalance equation itafaa zaidi Kama utampata ambae siyo mcheshi , sasa labda tusaidieni kinyume cha kuwa mcheshi ni kuwa namna gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom