nguzo1
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 349
- 535
Wakuu Salama?
Nakutana na changamoto mbalimbali katika maisha na huwa inafikia mahali natamani kuwa na Mwanasheria wa kudumu ili awe ananishauri kwa ukaribu sana kuhusu mambo mbalimbali.
Awe amefanikiwa kutatua changamoto mbalimbali kwenye taaluma yake na awe na uelewa mpana kwenye fani hiyo.
Asiweke maslahi (fedha) mbele kwa kila jambo nitakalomshirikisha kwani ningependa awe karibu na mimi na familia yangu kwa ujumla na ningependa awe msaada mkubwa kwa familia yangu hata nitakapokuwa siko hapa duniani.
Kuhusu mimi ni kijana raia wa Tanzania na bado nina strugle kuboresha maisha yangu na familia yangu na kwa sasa nipo Dar es salaam.
Kwa yeyote atakayekuwa interested na badiko langu na kama atakuwa tayari naomba tuwasiliane kupitia PM.
Nilipanga kwenda kwenye hizi Law firm ila naona sitompata atakaenielewa kwa haraka ndio sababu ilionifanya nije hapa jf.
Nawasilisha
Nakutana na changamoto mbalimbali katika maisha na huwa inafikia mahali natamani kuwa na Mwanasheria wa kudumu ili awe ananishauri kwa ukaribu sana kuhusu mambo mbalimbali.
Awe amefanikiwa kutatua changamoto mbalimbali kwenye taaluma yake na awe na uelewa mpana kwenye fani hiyo.
Asiweke maslahi (fedha) mbele kwa kila jambo nitakalomshirikisha kwani ningependa awe karibu na mimi na familia yangu kwa ujumla na ningependa awe msaada mkubwa kwa familia yangu hata nitakapokuwa siko hapa duniani.
Kuhusu mimi ni kijana raia wa Tanzania na bado nina strugle kuboresha maisha yangu na familia yangu na kwa sasa nipo Dar es salaam.
Kwa yeyote atakayekuwa interested na badiko langu na kama atakuwa tayari naomba tuwasiliane kupitia PM.
Nilipanga kwenda kwenye hizi Law firm ila naona sitompata atakaenielewa kwa haraka ndio sababu ilionifanya nije hapa jf.
Nawasilisha