Mshika Bunduki
Member
- Jan 14, 2015
- 79
- 18
Habari Wana Jamii Forums.
Kama title inavojieleza ni kuwa mie ni mwanaume mwenye miaka 32 na nahtaji mwanamke wa kuanza naye
maisha ya familia(mke na mme). Elimu yangu ni bachelor degree na ni mjasiriamali.
Mwananke anatakiwa awe na umri wa kuanzia miaka 22 - 30.Elimu kuanzia form 4 hadi Masters.
Awe ni Mkristo lakini pia mwenye hofu ya Mungu.
Aliyetayari ani-PM.
Asante.
Mshika Bunduki
Kama title inavojieleza ni kuwa mie ni mwanaume mwenye miaka 32 na nahtaji mwanamke wa kuanza naye
maisha ya familia(mke na mme). Elimu yangu ni bachelor degree na ni mjasiriamali.
Mwananke anatakiwa awe na umri wa kuanzia miaka 22 - 30.Elimu kuanzia form 4 hadi Masters.
Awe ni Mkristo lakini pia mwenye hofu ya Mungu.
Aliyetayari ani-PM.
Asante.
Mshika Bunduki