Nahitaji mwana sheria/au wakili wa kujitegemea

Nahitaji mwana sheria/au wakili wa kujitegemea

Sabih kilimo

Member
Joined
Feb 10, 2019
Posts
54
Reaction score
30
Mimi ni mfanya biashara wa kawaida nahitaji mwanasheria/wakili msomi wa kujitegemea Mwenye sifa zifuatazo;

Awe mkazi wa Tanga

Awe mzoefu na masuala ya mahakama asitafutie uzoefu kwangu.

Awe Mwenye kujiamini zaid asitetereke wa kutikiswa na aina yoyote ya kesi.

Mawasiliano +255712331257 WhatsApp tu.
 
Back
Top Bottom