Nahitaji mume..


Kumbe tz kuna ubaguzi(matabaka) wa(ya) kisirisiri leo nimejua kwani wasio kuwa na elimu, dini kutofautian, vipato, rangi n.k wasioane?. Mbona unaweza kupata vyote hivi ukanyimwa upendo? Anyway endelea kumsaka utampata.
 
Nipo hapa, kasoro kwenye kazi ya kueleweka, kazi ya kueleweka kwako inakuaje?
 

Waume wapo wengi inategemea umejiandaaje? Sio kila mwanamme ni mume na sio kila mwanamme ni mchezeaji na kuacha acha ovyo wanawake! Yataka busara kujua ni nini unahitaji na vipi utakipata! Muweke mungu mbele katika hilo kama kweli una ukweli ndani ya nafsi yako kuwa hasa unahitaji mume na sio mchumba! Ningejaribu kuomba nafasi kwako lakini elimu haujatanabaisha ya kiwango gani na kazi ungependa awe nayo ya aina gani? Ukinijibu maswali hayo nadhani utakuwa umewasaidia na wengine kujua kama wataweza kuja kwenu kuchumbia na kuoa! Asante

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 

Elimu ya kawaida cz is minor factor to me..shughuli ya uchumi ya kueleweka inayotambulika kama ni halali katika jamii...
 
weka bac hata picha yako ila ukiweka video yako ukiongea hayo uliyoyaandika itasaidia zaid kujua muonekano wako na watu kujikadiria.
ila mi n mkristo kama utamaind 2ishi pa1 niPM.
 
Tafadhali weka heshima huo si ustaarabu.
mzenjiboy, wee ni mgeni hapa mjini??
Huyaoni haya yakitokea?
Wanawake wanattongoza wanaume, wanajibebesha mimba na wanawahamishia wanaume kwao.
Leo ni kawaida sana kuona mwanamume akihamia kwa mwanamke....
Kama kuna mtu anaona nimemvunjia hishima au nimeongea maneno ya uwongo aseme.
 
Last edited by a moderator:
mungu akusaidie... ila nahisi mimi kama nakufaa nipo serious
 

Dada yangu mi sikubezi kwa hiki ulichokifanya ila mume mwema hatoki jf hutoka kwa bwana, humu yamejaa mafisi yakikunasa yatakulamba mpaka kamfupa ka kiuno ohoooo, cheka nao humu humu ujue unachat na majini, mazombi pia humu.
 
Sio mbaya anafaa ila awe tayari ku copy na mazingira ya din yangu.. Sio mguu ndan mguu nje

Huyu si atakuwa hajabobea ktk masuala ya dini, kwa maana hiyo itabidi umfundishe. Queen mimi nikutakie mafanikio, Inshaalah Allah akufanyie wepesi kuitimiza haja yako.
 
mbona una umri mdogo sana kufika hatua ya kutoa tangazo.
umekata tamaa mapema sana
 
mbona una umri mdogo sana kufika hatua ya kutoa tangazo.
umekata tamaa mapema sana

Hahahhhahhahhaha toa basi hiyo kiwa halafu uweke Mugabe ili iendane na avatar yako!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…