Nahitaji mume wakuishi nae..

Nahitaji mume wakuishi nae..

Naitwa: agness
Naishi: tanzania
Kabila: msukuma
Dini: mkristo(kkkt)
Umri: 31
Familia: nina mtt 1

Mazungumzo zaidi njoo inbox



SIFA ZA MUME NINAE
MUHITAJI:

Umri: 34 -45
Kabila: lolote
Dini: yoyote
Awe mwenye kujashughulisha
Mwenyemapenzi yakweli
Hata akiwa nawatt sitatizo
Awe mcha mungu
Tanzania ni kubwa, sema unaishi wapi exactly.
 
Aisee, yaani una sound kwamba umechoka kukaa bila mume kwa mda mrefu. Mungu atakusaidia
 
Maisha hayako fair Kwenye hii Dunia.
Inabidi tuwaambie wahubiri injili waanze kuhubiri ndoa za mke zaidi ya mmoja Maana Hali ishakuwa ngumu kimtaa.
Kila mtu anataka mume wa kwake peke yake na wao wako wengi zaidi.
Tutafuteni na sie tunaotaka kuoa mke wa pili basi.
 
Naitwa: agness
Naishi: tanzania
Kabila: msukuma
Dini: mkristo(kkkt)
Umri: 31
Familia: nina mtt 1

Mazungumzo zaidi njoo inbox



SIFA ZA MUME NINAE
MUHITAJI:

Umri: 34 -45
Kabila: lolote
Dini: yoyote
Awe mwenye kujashughulisha
Mwenyemapenzi yakweli
Hata akiwa nawatt sitatizo
Awe mcha mungu
Njoo nikuongeze nna watoto wawili na mke kwa kuonyesha kuwa ww ni muwazi nitakuongeza make wa pili na mwanao ntalea njoo inbobo tuendelee na mipango mingine
 
Naitwa: agness
Naishi: tanzania
Kabila: msukuma
Dini: mkristo(kkkt)
Umri: 31
Familia: nina mtt 1

Mazungumzo zaidi njoo inbox



SIFA ZA MUME NINAE
MUHITAJI:

Umri: 34 -45
Kabila: lolote
Dini: yoyote
Awe mwenye kujashughulisha
Mwenyemapenzi yakweli
Hata akiwa nawatt sitatizo
Awe mcha mungu

Litakuwaje tatizo wakati na wewe una mtoto.
Anyways, Mwenyezi Mungu akujalia upate hitaji la moyo wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom