LiFe 2-point-0
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 4,253
- 11,624
Still 70 is a number๐๐๐๐น
Ndo iwe 70 mkuu!!
๐๐๐๐Still 70 is a number๐
Hapo mafao yako peupeee na urithi unatafutwa๐๐๐๐
โ
๐๐๐๐นHapo mafao yako peupeee na urithi unatafutwa
0711297086
Sawa Sawa. Inapendeza sanaAssalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh.
Kwa jina naitwa Aziza Ramadhan Abdallah, nahitaji mume miaka 40-70 ambaye anajua wajibu na majukumu yake kwa mwanamke wake, familia yake.
Nicheki WhatsApp kwa ajili ya maongezi zaidi. 0711297086.
Unapenda mkorofi ili wanyoshane sio????? ๐Kama ni mpole hapana, kama ni mkorofi na mgomvi muda utaongea...
Baada ya ukorofi, ukimdinga akili inamkaa sawa...Unapenda mkorofi ili wanyoshane sio????? ๐
Akili zako unazijua mwenyewe
wenye 30 jeAssalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh.
Kwa jina naitwa Aziza Ramadhan Abdallah, nahitaji mume miaka 40-70 ambaye anajua wajibu na majukumu yake kwa mwanamke wake, familia yake.
Nicheki WhatsApp kwa ajili ya maongezi zaidi. 0711297086.
Unazani ni bahati mbaya kiongozi?Umetaja umri wa umtakae bila kuweka umri wako
Hee ina maana hili ni jizi hili auAcha kutapeli watu mbwa wewe unadhani hatukujui, tapeli mkubwa.
Nimevuka 60 ila mafao yote ya watoto na mijengo nimeisha wagawia
Kama utakubali unisaidie shambani njoo tu niwe active kwa mda mchache uliobakia