Poa mkuu, lengo langu ni kujua hiyo wilaya ya sikonge ni kabila gani maarufu linalipatikana huko?Uliza hapa hadharani utapata majibu, zaidi ya unayotegemea.
Tupo wengi sana humu
Wakonongo , waswezi, wasumbwa,
Wilaya ya sikonge ni kabila la ya wamwezi na nauli ya kutoka tbr mpaka sikonge nikama elfu 6 sema Nina miaka kama minne sijafika huko mkuu ila Barabara mbayaPoa mkuu, lengo langu ni kujua hiyo wilaya ya sikonge ni kabila gani maarufu linalipatikana huko?
Nauli toka tabora mjini hadi huko ni shingapi?
Shughuli zao kubwa ni nini?
Kwa kuanzia tu ni hayo mkuu
Aiseeeeeee,ngoja nikuunganishe na demu wang mpenzi.
Bila shaka atakua msaada mkubwa kwako,,, ni wa uko mboka toto ya chem chem.
Huyo demu wako mbona nishapitia kama ni hapa Chem chem tabora maana mimi mademu kama vile2 yote nishapitia maana mimi nikicheche wa hatari sionagi mgeni kaingia nikamwacha hivi hivi lazima nipige soundAcha ujinga, chem chem haipo skonge.
Hahahaaaaa alafu nayatamani sana hayo mkuu, huwa nayasikia tuNauli sahihi ni sh
4000/= Kwa sasa Sikonge ni palizi la mahindi na tumbaku. Sikonge ni wanyamwezi hususani wa kitunda a.k.a Kiwele (wakonongo), uliza jingine ila majogoo ya kuchi yamepingua sana hivyo isitegemee tutakuchinjia kuchi wetu.
Mimi natoke Tabora mjini...Merry Christmas kwa wana jf wote, kama kichwa kinavojieleza, naomba kama kuna mtu anaetokea mkoa wa tabora wilaya ya sikonge, please naomba tuwasiliane kuna mambo nahitaji kujua toka huko.
Ahsanteni, tusherehekee kwa amani